Naomba ushauri, uume kushindwa kusimama

Naomba ushauri, uume kushindwa kusimama

Mkuu hilo si tatizo but ni dalili ya tatizo tena si ajabu unapomaliza la kwanza unahisi usingizi kabixa au hata kulala hili ni kawaida kwa wanaume wengi kwani sperm huwa zinazalishwa hivyo uume usinyaa kusubiri sperm kujaa tena kwenye mayai na energy inayotumika ni nyingi mno kiasi cha kusababish usingizi mzito ila haitakiwi ichukue mda mrefu hivyo kwa kawaida ni dakk 5 hadi 15 tu...!!nakushauri utumie sana vyakula vya asili matunda mengi zaidi na mboga mboga za kijani pia kama unataka kudo usiku kwa mfano ni vyema ufanye maandalizi mapema kuanzia asubuh yani hakikisha maji unakunywa ya kutosha at list litre 2 na nusu na kuendelea chakula cha kutosha ule ushibe afu weka mawazo yako kwenye tendo pia mwandae mwenzio hakikisha we ni msafi na mwenzio pia msafi harufu mbaya mda mwingine husafabisha hamu kupotea...!ni hayo tu mkuu...!!

Hapo kwenye usafi umenena
 
Hapo kwenye usafi umenena

Mkuu usafi ni muhimu sana nyote mkiwa wasafi kwanza huleta hamu ya kufanya mapenzi afu hata mnapomaliza mzunguko wa kwanza na mingineyo hakikisheni mnajifuta na kitambaa safi na sio mashuka na mnapomaliza kabixa shughuli mnaoga then mnakuwa safiii kabisa..!
 
Acha kujichua au punyeto inasababisha misuli kulegea na kufanya uume usinyae na kulala mapema,jiepushe na kukaa alone,usiangalie video za ngono,kula tangawizi,asali,supu ya pweza,pendelea kutafuna mihogo mibichi na mchele mara moja moja inasaidia kua na stock ya sperm nyingi,pia bamia chemsha kula,halafu kuna jinsi ya kutibu misuli ilolegea
 
Acha kujichua au punyeto inasababisha misuli kulegea na kufanya uume usinyae na kulala mapema,jiepushe na kukaa alone,usiangalie video za ngono,kula tangawizi,asali,supu ya pweza,pendelea kutafuna mihogo mibichi na mchele mara moja moja inasaidia kua na stock ya sperm nyingi,pia bamia chemsha kula,halafu kuna jinsi ya kutibu misuli ilolegea
Sasa iyo misuli unastamilisha vp yani. Jomon
 
Mara nyingi nikipiga bao la kwanza napumzika karibu nusu saa ndo napata uwezo wa kuendelea na round nyingine, kwa maana kuwa baada ya bao uume unalala mpaka nusu saa ndio unasimama tena.

Naomba ushauri wenu, nifanyeje?
Nisikilize kwa makini na wote wanaofuatilia uzi huu,iko hivi,mwanaume kuendelea au kufanya vizuri kunategemea pia na mwanamke anafanya vipi majukumu Yake nje ya zakari ikiwa ndani ya kipochi chake,Kiukweli wanawake wengi hawajua namna ya kuwarudisha wanaume roundi zingine baada ya goli la kwanza sasa mwambie mpenzi wako akufanyie kitu hiki,Kila mwanaume anamstari unao anzia mkunduni hadi kwenye kichwa cha uume eneo hilo ni very sensitive natumia kiinglishi kwa msisitizo,mwambie mpenzi wako Akushikeshike huo mstari unaounganisha mkunduni na sehemu ya uume akigusa tu huo mstari Mara mbili au tatu utaanza upya kabisa wala njia hii aipelekei MTU kuwa shoga
 
Dah....wengine kunywa bia moja kwa saa moja wakaridhika..... Wengine hunywa bia 10 haraka haraka wakaridhika.....wengine hadi wakeshe baa ndiyo wanaridhika.....ndiyo raha ya pombe[emoji4]
 
Back
Top Bottom