wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Nyumba amejengea tofali za nchi 5, halafu haina nguzo hata moja, akiweka zege juu litashikiliwa na nini?Kama hujaanza kujenga usiweke bati juu. Mimina zege juu kama unajenga ghorofa juu. Huko juu unakua unapumzika huku unakunywa bia usiku.
Hahahaha, ndio maana nikamwambia kama hajaanza kujenga ajenge tu mfumo wa kigorofa ila juu asiendeleze nyumba aweke zege nzito tu. Maana ukipiga hesabu kupaua juu ukitumia 15 milion. Hii hela mbona inatosha kupiga zege juu ambapo ukimaliza unabakia kuskim tuNyumba amejengea tofali za nchi 5, halafu haina nguzo hata moja, akiweka zege juu litashikiliwa na nini?
Mkuu ukimaliza huku njoo inbobo Sasa[emoji3]Unataka kuniua boss
500k kwa bandoPamoja na sunshare gauge 30 migongo midogo
500k kwa bando
Habari wadau,
Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa.
Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi
BATI ZA RANGI
Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema uaminifu sasa ni 00 kwani WAPO walozitumia na sasa ni nyeupe na walinunua kwa mawakala trusted.
KIBOKO anaaminika kiasi kwani anaingia na kutoka sokoni kwa ubora
BATI ZA KAWAIDA
SIMBA DUMU wengi wanazisifia sana ila mafundi wanaelezea changamoto ya migongo ya mwisho kuacha uwazi. (390k kwa bando)
ROOFING
Mpaka sasa sijapata changamoto yoyote ya bati hizi zinatokea Uganda na wengi wanazisfia mafundi wakiwemo 400k kwa bando
Ziada:
ANDO
Huyu ni mgeni sokoni anaonekana ni bora (hamna ushahidi mana Hakuna reference) ila serikali kamuamin kampa tenda ya ikulu Dodoma (sio sababu mana 10% hua inahusika pia) bei yake sasa maaaaaaaa bati moja la migongo ya kawaida anauza 49k[emoji124]
Niende WAPI
KARIBUNI.
Ahsante500k kwa bando
Wanauzaje kwa pisi 1 ya mita 3? Za rangi?Nilitumia kiboko MKUU so far so good baada ya mwaka na miezi kadhaaa
Habari wadau,
Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa.
Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi
BATI ZA RANGI
Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema uaminifu sasa ni 00 kwani WAPO walozitumia na sasa ni nyeupe na walinunua kwa mawakala trusted.
KIBOKO anaaminika kiasi kwani anaingia na kutoka sokoni kwa ubora
BATI ZA KAWAIDA
SIMBA DUMU wengi wanazisifia sana ila mafundi wanaelezea changamoto ya migongo ya mwisho kuacha uwazi. (390k kwa bando)
ROOFING
Mpaka sasa sijapata changamoto yoyote ya bati hizi zinatokea Uganda na wengi wanazisfia mafundi wakiwemo 400k kwa bando
Ziada:
ANDO
Huyu ni mgeni sokoni anaonekana ni bora (hamna ushahidi mana Hakuna reference) ila serikali kamuamin kampa tenda ya ikulu Dodoma (sio sababu mana 10% hua inahusika pia) bei yake sasa maaaaaaaa bati moja la migongo ya kawaida anauza 49k[emoji124]
Niende WAPI
KARIBUNI.
Dooh huyo jamaa bei mkasi Sanaa ila product zake ni moto