Naomba ushauri wa aina ya bati ya kuchaguala?

Naomba ushauri wa aina ya bati ya kuchaguala?

Kama hujaanza kujenga usiweke bati juu. Mimina zege juu kama unajenga ghorofa juu. Huko juu unakua unapumzika huku unakunywa bia usiku.
Nyumba amejengea tofali za nchi 5, halafu haina nguzo hata moja, akiweka zege juu litashikiliwa na nini?
 
Nyumba amejengea tofali za nchi 5, halafu haina nguzo hata moja, akiweka zege juu litashikiliwa na nini?
Hahahaha, ndio maana nikamwambia kama hajaanza kujenga ajenge tu mfumo wa kigorofa ila juu asiendeleze nyumba aweke zege nzito tu. Maana ukipiga hesabu kupaua juu ukitumia 15 milion. Hii hela mbona inatosha kupiga zege juu ambapo ukimaliza unabakia kuskim tu
 
Naomba kujua bei ya alaf gauge 30 migongo midogo kwa sasa.
 
Habari wadau,

Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa.

Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi

BATI ZA RANGI
Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema uaminifu sasa ni 00 kwani WAPO walozitumia na sasa ni nyeupe na walinunua kwa mawakala trusted.

KIBOKO anaaminika kiasi kwani anaingia na kutoka sokoni kwa ubora

BATI ZA KAWAIDA
SIMBA DUMU wengi wanazisifia sana ila mafundi wanaelezea changamoto ya migongo ya mwisho kuacha uwazi. (390k kwa bando)

ROOFING
Mpaka sasa sijapata changamoto yoyote ya bati hizi zinatokea Uganda na wengi wanazisfia mafundi wakiwemo 400k kwa bando

Ziada:
ANDO
Huyu ni mgeni sokoni anaonekana ni bora (hamna ushahidi mana Hakuna reference) ila serikali kamuamin kampa tenda ya ikulu Dodoma (sio sababu mana 10% hua inahusika pia) bei yake sasa maaaaaaaa bati moja la migongo ya kawaida anauza 49k[emoji124]

Niende WAPI

KARIBUNI.

Hapo kwenye bati panatia hasira sana mkuu mimi nataka niezeke kwa maturubai kisha nihamie maana pesa imekata kwenye boma na hela ya kuendelea kulipa kodi sina
 
Hapo kwenye bati panatia hasira sana mkuu mimi nataka niezeke kwa maturubai kisha nihamie maana pesa imekata kwenye boma na hela ya kuendelea kulipa kodi sina
acha tu mkuuu yan napambana sanaa ila wapi ngoma haiendi kabisaaaa
 
Habari wadau,

Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa.

Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi

BATI ZA RANGI
Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema uaminifu sasa ni 00 kwani WAPO walozitumia na sasa ni nyeupe na walinunua kwa mawakala trusted.

KIBOKO anaaminika kiasi kwani anaingia na kutoka sokoni kwa ubora

BATI ZA KAWAIDA
SIMBA DUMU wengi wanazisifia sana ila mafundi wanaelezea changamoto ya migongo ya mwisho kuacha uwazi. (390k kwa bando)

ROOFING
Mpaka sasa sijapata changamoto yoyote ya bati hizi zinatokea Uganda na wengi wanazisfia mafundi wakiwemo 400k kwa bando

Ziada:
ANDO
Huyu ni mgeni sokoni anaonekana ni bora (hamna ushahidi mana Hakuna reference) ila serikali kamuamin kampa tenda ya ikulu Dodoma (sio sababu mana 10% hua inahusika pia) bei yake sasa maaaaaaaa bati moja la migongo ya kawaida anauza 49k[emoji124]

Niende WAPI

KARIBUNI.

Ando hana mpinzani mkuu japo bei kachangamka
 
Wanauzaje kwa pisi 1 ya mita 3? Za rangi?
Dooh Kwa sasa sijui ila Kuna nyuzi current humu zimetoa price na namba za mawakala tafuta mimi umepita karibu mwaka na nusu sasa
 
Dooh huyo jamaa bei mkasi Sanaa ila product zake ni moto

Bat kali sana kwanza zina rangi ya pekee ake
c2e5559c-02cb-4e3d-9221-5634ac61bcd8.jpg
 
Back
Top Bottom