joseph kayange
New Member
- Dec 19, 2019
- 1
- 5
Habari !!naomba ushauri wa magari aina ya Mitsubishi outland na ford rangers juu ya matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spea na mengine kama nitakua nimeyaacha.
Nawakilisha
Nawakilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha unamfunga mota 😂😂😂Dunia ni kijiji
Anaagiza tu hapo mzigoo shwaaaa unafika 😀😀Hahaha unamfunga mota 😂😂😂
Anaagiza tu au sio 😂😂😂Anaagiza tu hapo mzigoo shwaaaa unafika 😀😀
Chap chap kama k.koo tu hapoAnaagiza tu au sio 😂😂😂
Inategemea na mfukoChap chap kama k.koo tu hapo
Kupanda daladala kuna husika kama mfuko umetoboka 😀😀😀Inategemea na mfuko
EWURA ndio muamuziKupanda daladala kuna husika kama mfuko umetoboka 😀😀😀
EWURA kawa mnoko sana 😀😀😀EWURA ndio muamuzi
EWURA kawa mnoko sana 😀😀😀
😀Hahaha unamfunga mota 😂😂😂
Litatembea kutoka bandarini mpaka home then ataanza uswahiba na mafundi gerejiAnaagiza tu au sio 😂😂😂
Ford Ranger ndo UNYAMA nwingiHahaha unamfunga mota 😂😂😂
Hahahaha 😂😂😅🤣😅🤣Hahaha unamfunga mota 😂😂😂
Habari !!naomba ushauri wa magari aina ya Mitsubishi outland na ford rangers juu ya matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spea na mengine kama nitakua nimeyaacha.
Nawakilisha