Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hata ukiwekeza kwenye simu kali bado utaonekana uko serious na kazi yako na utafanya kazi yako kwa haraka zaidi tofauti na ukitumia Camera.Ila kamera naamini inaweza ikawa na picha kali zaidi ya simu