siwezi kukomaa naye kwa kuwa yeye anasikiliza maelekezo ya mama yake na sio yangu,yeye alitakiwa asimame na mimi ukizangatia wazazi wake walishachukua mahari,
Alikuwa hana support zaid ya kulazimisha nishirikiane na familia yake, kama sikuwa tayari kushirikiana na familia yake wataendelea kugoma nisimuoe, kwa kuwa alikuwa kwangu nikamrudishia kwao,sasa hivi ananiombea nigongwe na gari nife.Mmmh...!! Hii kalii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe unawasikiliza wazazi wa demu na kufanya mambo kwa hasira ndio maana. Kama demu anakupa support ebu fanya yako na mkeo hao wakwe njaa achana naoo. Me naona mkeo hana kosaa hapo kosa ni wewe kukosa msimamo. Mara ulipe maharii...mara utake kumfukuza mkeo..
Hiyo ndo sababu kuu niliyomuondoa kwangu,Angekuwa amesimama na mimi na kunisikiliza tungedumu sana.lakini alikuwa kwangu kimwili kiakili yupo kwaoKama anamsikiliza mama yake bhasi bwagaa tuu mzeee... Hamna cha sheria wala ninj
Kiufupi hiyo mimba sio yako, niaminimwanzoni nilikuwa na mtazamo kama wako,lkn baadae binti akabadilika na kusema hawezi kukubali kuolewa ikiwa sitakuwa na ushirikiano na familia yake,nikaona solution achape lapa akaungane na familia yake
Hao wanataka kukugeuza dili, piga chini fastaa kwanza ashukuru umemlelea tumbo la mwanaume mwenzakosiwezi kukomaa naye kwa kuwa yeye anasikiliza maelekezo ya mama yake na sio yangu,yeye alitakiwa asimame na mimi ukizangatia wazazi wake walishachukua mahari,
Daah [emoji23][emoji23]Ifikie hatua wanaume wenye akili pekee ndio waoe jamani, sio lazima kila mtu aoe.
Basi subiri mwana umlee, Maisha yaendelee..nimeshamrudisha kwao tayari kwa kuwa mzazi wake aligoma kutoa ruhusa kwa viongozi wa dini,wasitufungushe ndoa,kwani aliona kama anamuuza mtoto wake kwa sababu mahari yote ilipelekwa kwa wakati mmoja na yote,na wao walitaja mahari kwa minajili ya kunikomoa,
nimeshamrudisha kwao,sasa hivi ananiombea nipate ajali nife kabisaHao wanataka kukugeuza dili, piga chini fastaa kwanza ashukuru umemlelea tumbo la mwanaume mwenzako
hiko ndo nachofanya kwa sasa,nimeanza kumuhudumia tangu mimba ikiwa changa mpaka imefika miezi saba na sikupenda nimrudishe kwao akiwa mjamzito,ila kwa kuwa amenigeuka kwa kufuata maelekezo ya mama yake na sio ya kwangu,nikaamua kumrudisha kwao akamsikilize vizuri.Basi subiri mwana umlee, Maisha yaendelee..