Naomba ushauri wa kitaalamu: Alimeza P2 ila kashika mimba

Naomba ushauri wa kitaalamu: Alimeza P2 ila kashika mimba

Nilitembea na girlfriend wangu siku ya 14 akameza dawa baada ya masaa 24 means jioni ya siku iliyofuata baada ya kulala nae na baada ya kumeza dawa that night nililala nae tena nikijua ile dawa bado inafanya kazi ila ameshika mimba.

Sasa kwa upande wangu iyo mimba sio tatizo ila nawaza huenda mimba au mtoto atakua na complications zozote baada kuzaliwa kutokana na dawa ya kuzuia mimba aliyomeza, naombeni majibu ya kitaalamu.
Huyo dogo akizaliwa anastahili pongezi , MUNGU ana kusudi naye, akikua, muombeni msamaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Humu Jf wiki hili mada za mimba zisizotarajiwa hazikauki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizo dawa mnazowapa wapenzi wenu zakuzuia mimba mjiandae na vimbe tumboni.
 
Acha uzinzi wewe yani unataka utoe mimba ili iweje..kama amepata mimba wewe jiandae kulea
 
Watu wengi p2 hua zinawadissapoint ni vile hawasemi tu [emoji38]

Hii dawa inafanya kazi kw kuchelewesha ovulation,sasa kama mkikutana siku ya hatari ambayo ovulation imeshatokea p2 haisaidii kitu.
 
Ukute kakupanga kameza p2 kumbe alizitupilia mbali, mwaka wa saba huu unampanga tu humuoi katumia fursa sasa. 😀 😀
 
Back
Top Bottom