Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
AsanteHongera ba kijacho
Namtaka bwana😂Usiyemtaka kaja
Mbona ukampiga nap2?, cha msingi nendeni clinic mapemaNamtaka bwana😂
Huyo dogo akizaliwa anastahili pongezi , MUNGU ana kusudi naye, akikua, muombeni msamaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilitembea na girlfriend wangu siku ya 14 akameza dawa baada ya masaa 24 means jioni ya siku iliyofuata baada ya kulala nae na baada ya kumeza dawa that night nililala nae tena nikijua ile dawa bado inafanya kazi ila ameshika mimba.
Sasa kwa upande wangu iyo mimba sio tatizo ila nawaza huenda mimba au mtoto atakua na complications zozote baada kuzaliwa kutokana na dawa ya kuzuia mimba aliyomeza, naombeni majibu ya kitaalamu.
Alimeza nilikua naeHakumeza!
Kwa nini?Darasani lazima aburute mkia
Nani kakwambia anataka kutoaAcha uzinzi wewe yani unataka utoe mimba ili iweje..kama amepata mimba wewe jiandae kulea
Baridi kali mkuu wanaolala kama baiskeli ni wachache kipindi hikiHumu Jf wiki hili mada za mimba zisizotarajiwa hazikauki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]