Naomba ushauri wa kozi ya kusoma

Naomba ushauri wa kozi ya kusoma

Pole sana, nahofia naweza kukutajia kozi ambazo siyo chaguo lako au siyo unazopenda eti Kwa kuwa tu Zina fursa Fulani...Naamini ulizotaja ndiyo unazopenda hivyo basi tembea na Law nenda Mzumbe au Jalalani (udsm).
 
Nenda veta kajifunze ufundi hizo kozi utajikuta upo mtaani huna ajira na huna ujuzi mwingine
 
Back
Top Bottom