Naomba ushauri wa kuanzisha darasa la mafunzo ya computer

Ahsante Sana kwa Ushauri.
 
Do it, usikbali kukatishwa tamaa,sauti ya kwanza toka nafsini mwako ndo huwa imebeba maoni,ifuate hakika utatoka mkuu,nina udhoefu wa hii kazi,katika ofisi yako weka na photocopy machine,printers nk.
 
Do it, usikbali kukatishwa tamaa,sauti ya kwanza toka nafsini mwako ndo huwa imebeba maoni,ifuate hakika utatoka mkuu,nina udhoefu wa hii kazi,katika ofisi yako weka na photocopy machine,printers nk.
Ahsante Sana kwa Ushauri Mkuu! Nitazingatia Sauti toka ktk Nafsi yangu!
 
Naomba unipe hints namna wanavyosajili, ofisi gani ni responsible kwa Usajili, na vitu gani vinavyohitajika wakati wa Usajili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…