Wanataka iPhone hao. Sisi wazee wa Android acha tuenjoy simu nzuri kwa bei rahisi tu.Kwanini utumie simu ya zamani mkuu, nunua simu ya mwaka huu yenye specs kali kwa bei ya wastani, nenda kwa Xiaomi Redmi Note 10 au ongeza pesa kidogo uchukue Redmi Note 10 Pro, kamera kali 64MP/128MP, screen kubwa 6.7'' SuperAmoled, Snapdragon.....
Ndio apo mzee kama ka note ten kanapiga mzigo adi nakaonea wivu haka kasimuWanataka iPhone hao. Sisi wazee wa Android acha tuenjoy simu nzuri kwa bei rahisi tu.
Mkuu naomba nikushauri kitu kwa budget yako I suggest iPhone 7 plus tena uipate ile matte black aisee ni bonge moja la simu executive kimuonekano [emoji123] whether refurb or used one in good condition. Kuna machimbo ya uhakika kabisa unaipata hiyo iliyotulia bila papara nakushauri utulie ufanye research kwanza. Aisee mimi ni iPhone enthusiast huniambii kitu nilishaitumia hiyo, wahuni waliipiga pale Tips mida mibovu nikahamia Samsung chap na uchumi ule wa Hayati Uncle Magu [emoji38] Nasikilizia hizi za sasa watoe ile notch tu pale juu nirudi fasta [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh aisee!!!!
apple huwa ana misimamo ya kindezi,anawajua wateja wake.Hahah kweli mkuu kumbe notch inatusumbua wengi. Watafute namna ya kuwek indispaly sensor za hii face ID tupambane tuchukue vyuma, nahis hiyo inayokuja 13 maybe au
Si nasikia hzi simu hazipatikan bongo kirahis?Kwanini utumie simu ya zamani mkuu, nunua simu ya mwaka huu yenye specs kali kwa bei ya wastani, nenda kwa Xiaomi Redmi Note 10 au ongeza pesa kidogo uchukue Redmi Note 10 Pro, kamera kali 64MP/128MP, screen kubwa 6.7'' SuperAmoled, Snapdragon.....
Iphone xr ndo yenye latest android OS?
π π π π π π nimecheka sana aiseekuna mdada nmepanga nae ana iphone akiwa anawasiliana anahakikisha vidole havizibi lile tunda[emoji1].nikiwa napiga nae story ananiambia iphone n ya kutoka nayo tuu out akirud geto anachukua infinix .anakwambia tangu amiliki iphone hajawah weka wimbo wwte et inamchanganya upande wa kudownload na mambo mengi yapo complicated[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
π π π π π huu uzi kwanini sijauona mda wote huo hahahahahahyan iphone iwe na adroid ? mkuu vipi ??
Hahahahah android za Spec kubwa nimetumia mkuu ila kwa wepesi iOS ni nyepesi sanaBro ulikua unatumia Bajaji alaf unanunua V8 unashangaa liko faster? Nunua Android ya bei kubwa uone kma iko slow kma hzo itel
Hio simu asijaribu ni simu nzuri kwa utendaji ila haina ufanisi hata upande wa battery na charging nilimchukulia Mshua namie nikachukua 6S! Hii yangu 6S ina uvumilivu kuliko 7 ile ya mzee japo zote utachaji mara 3 per dayMkuu chukua iPhone 7 Gb 128 ni simu nzuri sana unapata IOS updates zote hadi latest 14.5 pia ina high processing speed na 2gb Ram.
Charge inakaa kutwa nzima ukiwa online Mda wote with 4G network.
Kinging apple wana real phone specification.
Eg.
retina camera, jinsi macho yako yanvyoona kitu ndio picha ya iPhone ikionyesha
Real Ram, iPhone huwezi kuta ina stack au ku load kitu kwa muda mrefu kama android
Lakini Android huwa simu zao wana label specifications yaan unakuta simu specification kubwa lakini uwezo au uharisia zero kabisa.
Mimi natumia iPhone 7 gb 128 na jamaa yangu anatumia sumsung kubwa tu kam A10 au A20 tulizilinganisha uwezo wa processing power ya internet
Tukachukua laptop yenye Ram 8gb na processor core i3 Tuka connect WIFI kwa kutumia simu yake ya Samsung aisee pc iko slow kwenye internet Kama kobe
Then tuka disconnect na ku connect iPhone 7 yangu 4G network aisee yaani ukigusa link faster pc ina open.
Na wote tulitumia chip ya Vodacome 4G
Baada ya hapo jamaa akaamini iPhone wapo realistic kuliko android wao wana label specification lakini uwezo halisi wa simu zero.
Kwa hiyo achane kuofananisha iPhone na simu za kijinga.
3times per day???Hio simu asijaribu ni simu nzuri kwa utendaji ila haina ufanisi hata upande wa battery na charging nilimchukulia Mshua namie nikachukua 6S! Hii yangu 6S ina uvumilivu kuliko 7 ile ya mzee japo zote utachaji mara 3 per day
Kwa mie natumia simu masaa 22 kwa siku lazma nichaji mara 3-4 thru the day3times per day???
Kama we si mtumiaji unaweza chaji 2 times a dayHapo sawa