Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

A10 wala a20 sio sawa kuilinganisha kuna a71 gusa utupe hiyo iphone
 
Big up.. mkuu
 
Mdau kakujbu hapo chini, ila kununua iphone 7 ni bora tu ununue simu ya android yenye latest android OS. Kwanza simu kama iPhone 7 haikai na charge sana pia huifaidi iOS 14 vya kutosha. Walau ununue hata iphone Xr

na vipi kuhusu 7+ ????
 

vipi 7 plus mkuu
 
vipi 7 plus mkuu

7+ iko Okay si unajua kuna atleast okay, okay na kuna Great kwahyo 7+ iko “okay” Maana kwa Camera ndio Potrait Nzuri inaanza kwa 7+ na kuendelea ila Charge sio sana Kama ni Heavy user kwa siku unachaji mara mbili
tip: usizimezime data ukizima data na kuwasha ndio unamaliza charge faster acha data on itakaa muda mrefu zaid
 
hapo nimekuelewa mkuu ngoja tutafute duka la iphone week ijayooo,,,

na kwenye swala la kujaaa CHAJI vipi si huwa hauchukuii mda au ndo ile unalaza mpaka kesho
 
hapo nimekuelewa mkuu ngoja tutafute duka la iphone week ijayooo,,,

na kwenye swala la kujaaa CHAJI vipi si huwa hauchukuii mda au ndo ile unalaza mpaka kesho

Haipo kama simu za siku hizi dkka 45 imejaa sema inajaa faster tu, kawaida
 
mmmh yan data on inakaa zaid

Hii ipoje?
 

Umeongea kweli tupu kwa kufupi China plaza na kkoo kwa umla hapafai kuna simu vimeo sana hizi iPhone sina hamu
 
mmmh yan data on inakaa zaid

Hii ipoje?

Yaan Best ni utumie Wifi, Kama haiwezekan tumia data ila ukiwa unatumia data mara kidogo unazima then dakika 5 umewasha simu haijatulia ukazima tena mara unawasha kuna watu wanafanyaga hivyo, ukifanya hivi unadrain battery faster either zima data completely tumia wifi au acha data on zima background apps iPhone yako ita survive mda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…