Naomba ushauri wa kusoma "Masters"

Ukweli mtupu mkuu wangu, nimepokea ushauri wako kwa mikono miwili.
 
Daaah!! Ahsante sana mkuu wangu, hakika wewe ni mshauri mzuri, umenena ukweli mtupu katika taarifa yako nemesoma neno kwa neno, msatari kwa mstari, aya kwa aya, sijaona neno la kinafiki hata moja. Hongera sana ubarikiwe na bwana.
 


Project management is the best for you, kwa degree yako, hii itakufaa, ukiwa na fursa ya kusoma soma.
 
unaenda kusoma kwa ajili ya mtu, au kwa ajili yako? Km hujui unachotaka kusoma sasa kwanini utamani kwenda kusoma? Hayo ni mambo yako binafsi
 
Hongera sana mkuu wangu kwa ushauri wako uliojaa hekima na busara nyingi. Hakika Mungu akutunze kama hadhina, kama kisima cha kuchota maarifa, hekima, busara na uzoefu mbalimbali.
 
Kwanza kachape kazi. Waajiri wengi hawata kupa likizo ya masomo kabla ya muda fulani kupita labda kama utasoma OUT. Muda huo utakupa ikomavu kazini na utajua sheria zao za kwenda kusoma na kama wana masters wanazo zipendelea.
Masters inaweza isibadilishe kipato chako mara moja lakini inaweza kufungua milango mingine na kuna vyeo bila masters utavisikia tu. Ni investment nzuri.
Anzia hapo mengine yatafuata.
Hongera sana mkuu wangu kwa ushauri wako uliojaa hekima na busara nyingi. Hakika Mungu akutunze kama hadhina, kama kisima cha kuchota maarifa, hekima, busara na uzoefu mbalimbali.
 
Noo big no watu wanalipwa mshaara wa mastar ushauri wangu asomee kozi aliyopatia kazi
 
Maono yako,ndoto yako lazima utimize.Usisubiri ukae miaka 5.
Mshahara unapata,nenda OPEN UNIVERSITY Kama kituo kipo karibu,jisajili ingia Kuna kozi Kule ya community development,kasomeee,kasomeeee.
Kasome saaana,haijalishi Kama hutapanda cheo,haijalishi Kama mshahara wako UTAKUWA wa degree.HAPA NI MAONO YAKO,VISION YAKO LAZIMA UITIMIZE.
Kasome,hujui kesho itakuwaje!!
Kikubwa KAWE CHAWA WA MUNGU,JICONNECT NA MUNGU,UTAKUWA JUU SANA MPAKA USHANGAE.
 
Ahsante sana tena sana, nimepokea maoni mengi lakini maoni yako hakika yametisha sanaaaaaaaa. Unafaa kuwa motivation speaker, ubarikiwe na bwana.
 
Mleta mada chukua ushauri huu,
Utakuja kumshukuru huyu ndugu miaka michache ijayo.
 
Kasome angalia na uwezekano wa kufanya kazi kwa miaka 3 then omba ruhusa.


Kwa umri wako ni vyema kusoma kabla ya 40's ...Soma ili uweze kusecure nafasi yako na uombe Mungu unaweza kupata promotion hata kwenda sehemu nyingine..

Kama una nia fanya kusoma ila usifuate mkumbo.
Daaah! Kumbe hakuna faida yoyote tena mkuu, je! Niruhusu ndoto yangu ya kusoma "masters" isitimie mkuu?
 
Ahsante sana mkuu, mawazo mazuri kama haya ndio nayahitaji, ubarikiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…