Naomba ushauri wa kusoma "Masters"

Soma iyo masters kwa kuangalia connection brother wangu
 
Project management is the best for you, kwa degree yako, hii itakufaa, ukiwa na fursa ya kusoma soma.
Hatakiwa kupoteza mwaka na usher kusoma master ya hii kozi. Yeye asome development studies ambayo ndani yake kuna elective ya project management.

Ila afanye kazi kama miaka 3 ndio atapata uelekeo wa nini asomee.
 
Hatakiwa kupoteza mwaka na usher kusoma master ya hii kozi. Yeye asome development studies ambayo ndani yake kuna elective ya project management.

Ila afanye kazi kama miaka 3 ndio atapata uelekeo wa nini asomee.
Ahsante mkuu nimepokea ushauri wako kwa mikono miwili
 
📌📌🔨🔨
 
Suala la elimu katika hii nchi ni gumu sana,nimekutana na watu wengi wenye elimu za juu lakini napataga mashaka kama kweli wana elimu hizo ama walipewa ,
Elimu itakayotusaidia ni technical tu i.e zinazopatikama Arusha tech,Must,Dit,nk..
Vijana tujaribu kuondoa dhana ya kuajiriwa na tufikiri kuajiri
Ajira ni mbaya,ajira haina uhuru,ajira ni kama asali ya wizi
 
unaenda kusoma kwa ajili ya mtu, au kwa ajili yako? Km hujui unachotaka kusoma sasa kwanini utamani kwenda kusoma? Hayo ni mambo yako binafsi
Wenzetu wana category ya CAREER DEVELOPER. Kazi yake kuu ni kushauri watu juu ya caree development bila kujali status of education. Hata chuo kuna mshauri wa kitaluma.
Katka karne ya 21 ya utandawazi mambo ni mengi na unaweza kufikiri umehitimu na kujua mambo mengi kumbe una ombwe la ufahamu wa cross cutting issues kisha unabaki kizamani.
Kuna watu wanafanya tafiti na ufuatiliaji wa career mbalimbali na kuwashauri watu wa 'cope ' vipi na wakati.
Kwenye ajira penyewe kuna seminar nyingi za kujenga uwezo.
Wewe kama mzoefu mpe mwelekeo wa kitaaluma utaomsaidia ku 'ope' na mifumo ya serikali na dunia.
Makazini kwetu hakuna MENTOR WALA COUCHER wa kumkuza kiutumishi.
Asibezwe sana kisa ana digrii.
 
Huyu ni muajiriwa anayetaka kujiendeleza. Hana huo muda wa kufanya ufundi.
Elimu ya kijamii. nayo ni muhimu.
 
Jaribu kunitumia mimi ujumbe.

Ahsante sana mkuu, hakika umenena vyema sana wengine humu wanadhihaki, kijembe na kejeli wakati mimi jambo langu ni kuomba ushauri utakaonisaidia kusonga mbele.
 
Fanya masters inayoendana na taaluma ya awali... mfano hiyo community dvt itakufaa zaidi!
 
MBA....(.......)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…