Naomba ushauri wako nasaha juu ya kufikia malengo ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka mmoja na miezi sita

Naomba ushauri wako nasaha juu ya kufikia malengo ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka mmoja na miezi sita

Hukumsikiliza (kumsoma) vizuri huyo uliyemjibu hapo.
Jibu lako hili halitatui tatizo aliloligusia.
Hilo tayari ni kosa lako namba moja katika kazi unayotaka kuifanya.

Mchanganyiko wa chotara na kienyeji halifuti tatizo la ufugaji wa hao kuku.
Nafahamu mkuu kuku wakienyeji ukuaji wao niduni nakuwafungia ndani Kwa muda mrefu nihasara, lakini Hawa namna nilivyoliweka Banda langu Hawa watakua wachache nawatakua nachumba chao , lakini pia hawa muda mwingine ntakua nawaachia wazurule wenyewe nakuwapa chakula Cha ziada pindi warudipo. Lengo hasa lahawa nikupata Mbegu mchanganyiko kati ya kienyeji na chotara Kisha nione ukuuaji wao.

Nafahamu ningumu Kwa kuku wakienyeji ufugaji wao lakini pia ntapenda zaidi kuwaona japo Kwa uchache .

Pia lengo hasa lamada hii nikuomba ushauri Kwa wazoefu kama nyinyi wapi niboreshe na wapi niache.

Asantee mkuu Kalamu
 
Mkuu Kalamu heshima kwako, lengo lakutaja umri range nikuonyesha kua bado nipo kwenye umri wa kufanya,kushindwa kufanya Tena na Tena nikiwa Sina majukumu yakua na pressure ya familia inayonitegemea kama mke na watoto. Kwahio kipato ambacho nachokipata Kwa Sasa kinaingia katika uwekezaji .

Mkuu @ Kalamu hizo biashara nyingine namaana zinajiendesha pamoja na mimi kunilpa mshahara wa million 1.8 kama sehemu ya mfanyakazi. Napotoa huduma juu ya biashara yangu inahitajika inilipe mshahara , hii nimefanya hivyo ili bishara zijiendeshe zenyewe. Na hiki kiasi nachopata ndicho nachotumia Kwa matumizi binafsi kama Kodi ya yanapoishi pamoja na bill nyinginezo ambazo hazihusiani na biashara Moja kwa Moja. Hii pia nikuonyesha sihitaji biashara Moja iisukume biashara nyingine Bali Kila biashara ijisamamie yenyewe Kwa mapato yake na Kila baada ya miezi 2/4 nafanya ukaguzi juu ya biashara husika kuangalia namna gani inavyoendelea hii inanisaidia kujua uelekekeo wa biashara zangu kama zinakua au ziko palepale au zinashuka nasababu nizipi.

Napohitaji niingie katika ufugaji naingia kama sehemu ya ufunguzi wa biashara nyingine , nikiwanamaana ntaisimamia mwenyewe siku nne mpaka Tano zawiki Kwa muda usiopungua masaa 9 Kwa siku na wasaidizi wangu wawili Kila mmoja atakua hapo kwenye Banda masaa yote maana ndio mahala watakapokua wanaishi.

Pia nimeingia makubaliano yakununua kuku aina ya SASSO ambao wanaweza kuatamia , vifaranga wenye miezi 2, Kila baada ya week 2 vifaranga mia Moja.

Naomba uwe specific wapi nimekwama wapi panachea ,wapi unahitaji maelezo ya ziada Kwa ufafanuzi wako zaidi mkuu wangu Kalamu .

Asantee Boss.
Adui mkubwa ni 'muda'.
Ningetamani sana kuchambua andiko lako toka mwanzo hadi mwisho nikuonyeshe makosa utakayoingia kwa namna unavyopanga kufanya hiyo kazi.

Kwa mfano tu: Huwajui vizuri hao kuku wa SASSO. Hao kuku hawaatamii mayai vizuri kama anavyofanya kuku wa kienyeji. Kwa hiyo hilo wazo tayari ingefaa uwe umeliondoa akilini mwako, na ufuate ushauri aliokupa mkuu 'Fursa' wa kununua mashine ya kutotolesha.

Funzo hapa ninalotaka kukupa ni hili: Katika biashara/kazi yoyote ile, kabla hujaianza, inafaa ujiandae angalau uwe na kiasi fulani cha elimu juu yake.
Hapa inaonyesha huna 'basic knowledge' kuhusu ufugaji wa kuku, na wala kuku wenyewe unaotaka kuwafuga huwajui tabia zake.
Miezi sita ya wao "kudondosha mayai", akama alivyokushauri mkuu'Fursa' na wewe kufurahia ushauri huo; mambo kama hayo ndiyo yatakayokufanya ushangae kulikoni, ukishafika huko.
 
Nafahamu mkuu kuku wakienyeji ukuaji wao niduni nakuwafungia ndani Kwa muda mrefu nihasara, lakini Hawa namna nilivyoliweka Banda langu Hawa watakua wachache nawatakua nachumba chao , lakini pia hawa muda mwingine ntakua nawaachia wazurule wenyewe nakuwapa chakula Cha ziada pindi warudipo. Lengo hasa lahawa nikupata Mbegu mchanganyiko kati ya kienyeji na chotara Kisha nione ukuuaji wao.

Nafahamu ningumu Kwa kuku wakienyeji ufugaji wao lakini pia ntapenda zaidi kuwaona japo Kwa uchache .

Pia lengo hasa lamada hii nikuomba ushauri Kwa wazoefu kama nyinyi wapi niboreshe na wapi niache.

Asantee mkuu Kalamu
Haya sasa!

Kumbe upo kwenye mpango wa kufanya "UTAFITI"? Huku ukitegemea unafanya biashara?
Huwezi kufanya biashara namna hiyo.

Kuku wa kienyeji na Chotara, usitegemee matokeo yenye ufanisi zaidi ya hao wazazi wao.
 
Hesabu za excell hizi!..... jipe miakà hata 5 uje utoe ushuhuda wa kuku 5000!....
Weka na haya
.kuibiwa mayai
.Kuibiwa kuku,
Vifo vyà kuku kutokana na magonjwa ya milipuko,
Chakula kutokua bora na vikuku kudumaa.
Wafanyakqzi kuacha kazi ghafla🤯
Kupanda bei za chakula ..
 
Heshima yenu wakuu
Umri wangu ni miaka 28/32, Sina mtoto wala mke na biashara kadhaa kama 3 tofauti na pia najilipa mshahara wa Mil 1.8 per month kama Gross huu nikwaajili ya matumizi yangu binafsi nakufanya saving Kwa ajili ya kuanzishia biashara mpya Sasa nimeamua niingie katika ufugaji wa kuku.

Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.

Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.

Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.

Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.

Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.

Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.

Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.

Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.

Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.

Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.

Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.

Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.

Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.

Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.

Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.
Nikuambie tu hayo mabanda uliojenga sio mabanda ya kuku na kama hujawahi fuga usiweke malengo makubwa hivyo kwanza usome mchezo alafu uingie mchezo kuku wakiwa wengi kitakachowafanya wasiendelee ni hewa bandani umejipangaje kwa hilo.

Umejifunza ufugaji wa cages? Umejifunza utawalisha kiasi gani cha chakula hao kuku 1500 au wakifika 5000 umejifunza ni aina gani ya chakula u ahitajika uwape na malengo yako mbali na kuwa na kuku kuku 5000 unazijua figisu za soko la kuku. Una mganga au unamtegemea Mungu.

Hili swali la mwisho lisikufikirishe moyo wako ulipo ndipo hazina yako ilipo
 
Adui mkubwa ni 'muda'.
Ningetamani sana kuchambua andiko lako toka mwanzo hadi mwisho nikuonyeshe makosa utakayoingia kwa namna unavyopanga kufanya hiyo kazi.

Kwa mfano tu: Huwajui vizuri hao kuku wa SASSO. Hao kuku hawaatamii mayai vizuri kama anavyofanya kuku wa kienyeji. Kwa hiyo hilo wazo tayari ingefaa uwe umeliondoa akilini mwako, na ufuate ushauri aliokupa mkuu 'Fursa' wa kununua mashine ya kutotolesha.

Funzo hapa ninalotaka kukupa ni hili: Katika biashara/kazi yoyote ile, kabla hujaianza, inafaa ujiandae angalau uwe na kiasi fulani cha elimu juu yake.
Hapa inaonyesha huna 'basic knowledge' kuhusu ufugaji wa kuku, na wala kuku wenyewe unaotaka kuwafuga huwajui tabia zake.
Miezi sita ya wao "kudondosha mayai", akama alivyokushauri mkuu'Fursa' na wewe kufurahia ushauri huo; mambo kama hayo ndiyo yatakayokufanya ushangae kulikoni, ukishafika huko.
📌kuna michitara inagomaga kbs kuatamia...kufupi kaiandika as story not real kbs
 
Mko
Nikuambie tu hayo mabanda uliojenga sio mabanda ya kuku na kama hujawahi fuga usiweke malengo makubwa hivyo kwanza usome mchezo alafu uingie mchezo kuku wakiwa wengi kitakachowafanya wasiendelee ni hewa bandani umejipangaje kwa hilo.

Umejifunza ufugaji wa cages? Umejifunza utawalisha kiasi gani cha chakula hao kuku 1500 au wakifika 5000 umejifunza ni aina gani ya chakula u ahitajika uwape na malengo yako mbali na kuwa na kuku kuku 5000 unazijua figisu za soko la kuku. Una mganga au unamtegemea Mungu.

Hili swali la mwisho lisikufikirishe moyo wako ulipo ndipo hazina yako ilipo
Mkuu hiyo point ya mwisho mbona kama inatutia hofu Sisi ambao tuna malengo ya kuja kuwa wafugaji wakubwa.
 
Heshima yenu wakuu
Umri wangu ni miaka 28/32, Sina mtoto wala mke na biashara kadhaa kama 3 tofauti na pia najilipa mshahara wa Mil 1.8 per month kama Gross huu nikwaajili ya matumizi yangu binafsi nakufanya saving Kwa ajili ya kuanzishia biashara mpya Sasa nimeamua niingie katika ufugaji wa kuku.

Mimi binafsi nahitaji nianze ufugaji wa kuku chotara, ambao wanataga na kuatamia, pamoja na kuku wakienyeji. Ingawa Kuna Comment ya mkuu Kalamu niliwahi isoma hapa jukwaani akiisema kuku wakienyeji hawalipi na wafugaji wengi wanafuga ufugaji wa bila faida hasa wa mazoea.

Sasa siku za hivi karibuni naona wafugaji wengine wanafakiwa kuuza kuku mmoja bei ya elfu 30 Jogoo, na jike wanauza elfu 25. Baada yakufanya utafiti kidogo nimeamua ni fanye ufugaji na target yangu ni kuku 5000, kufikia December 2025. Mpaka Sasa nakuku wanane tu, wawili wa kienyeji, sasso 5 na kroila 1. Nimeanza kuku wachache Hawa nikiwa nikiwa naandaa mabanda yakamilike ndio niongenze kuku wengine.

Je Kwa maono yenu wazoefu wa ufugaji kuku, kufuga kuku mchanganyiko wa kienyeji pure, sasso, kuchi, kroila pamoja na Mbegu nyinginezo inaleta tija?.

Je ushauri wenu ni nini juu ya Mimi kufikia target ya kuku elfu 5 ndani ya mwaka 1 na miez 6?.

Sina uzoefu wowote katika ufugaji, lakini nategemea kuwaweka vijana wakike wawili ambao wao niwazoefu katika uangalizi wakuku na ntakua nawalipa kiasi Cha pesa kulingana na makubaliano yangu na wao.

Mabanda yapo mawili Kila Moja nalijenga sehemu tofautina yako mwishoni ili niweze kujua yupi anafanya kazi nzuri ili niongenze nguvu Kwa muangalizi mzuri zaidi.

Budget yangu ni 462,000/= Tzsh. Kwa Kila mwezi ndani ya miezi sita yakwanza, hii nipamoja nakunnua chakula pamoja na kuku wakubwa, vifaranga na chakula bila kusahu dawa na chanjo zake.

Hii 462,000 Tzsh, ninje na makubaliano ya mishahara yao.

Mpango wangu nikuku watakatakapofika 1500/2000 nisinunue kuku yeyote bali wazaliane wao Kwa wao tu.

Nimepanga kuwalipa Kila muangalizi shilling elfu 70 Kila baada ya week 2, nikiwa namaana tare 16 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja na tare 2 ntawalipa elfu 70 Kila mmoja, hii iweze kuwasaidia wao katika suala la matumizi binafsi madogo madogo. Pia Kila mtu atakua anakaa mahala hapo kwenye Banda husika, ingawa Mimi Niko mbali kidogo na Banda husika lakini nikihitaji kufika naweza kufika ndani muda mchache usiozidi nusu saa.

Nilikua naomba ushauri wenu juu ya mradi wangu huu, kuhusu masoko ya kuwauza nimepanga hapo baadae kufungua butcha za kuuza nyama za kuku , hizi butcha nimepanga kuzifungulia Dar es Salaam Kwa hapo baadae hasa 2026 kwahio ntaweza kuuza jumla na reja reja, pia ntahitaji kununua kuku wengine kutoka Kwa wafugaji wenzangu kadri soko la wanunuzi wa jumla wakuku litakavyoongezeka.

Mradi wangu naufanyia Tanga mjini wa ufugaji, maana ndipo nimeona aridhi inanunulika Kwa bei rahisi kidogo kulinganisha na Dar es Salaam.

Nimeambatanisha Banda langu mojawapo nalolimalizia pamoja na picha kuku za kuku wangu 3.

Naamini haitokua rahisi kufikia kuku elfu 5, lakini naamini pia haishindikani kufikia malengo.

Asante wakuuu wangu na karibu niweze pata mchango na mawazo yenu kama hamtojali.

Pitia huo uzi mdogo wangu,utajifunza mengi zaidi labda. Mwenyezi Mungu akujalie heri,nakutia moyo ufike utakapo na zaidi.
 
Mko

Mkuu hiyo point ya mwisho mbona kama inatutia hofu Sisi ambao tuna malengo ya kuja kuwa wafugaji wakubwa.
Point ipi ya mganga au ya ufugaji wa cages? Kama ni ya mganga natania tu japo hayo mambo yapo na kama ni cages ukitaka kufuga kuku wengi kwenye nafasi nzuri ni cages na wanakua sehemu salama na safi na hutapata gharama ya kujenge maukuta mengi kama jela
 
Hesabu za excell hizi!..... jipe miakà hata 5 uje utoe ushuhuda wa kuku 5000!....
Weka na haya
.kuibiwa mayai
.Kuibiwa kuku,
Vifo vyà kuku kutokana na magonjwa ya milipuko,
Chakula kutokua bora na vikuku kudumaa.
Wafanyakqzi kuacha kazi ghafla🤯
Kupanda bei za chakula ..
Hakuna hesabu za Excell mkuu wangu, nimejiandaa nabahati nzuri najifahamu hulka yangu sijawahi kufeli jambo labda hua nachelewa tu kufikia malengo. Niko tayari kukabiliana nachangamoto zitakazojitokeza.

Tusubiri huu Uzi utakua hai ntakua naleta mrejesho Kila baada ya mwezi mmoja au miwili.
 

Pitia huo uzi mdogo wangu,utajifunza mengi zaidi labda. Mwenyezi Mungu akujalie heri,nakutia moyo ufike utakapo na zaidi.
Asante Boss wangu nashukuru Sana Kwa kujali kwako.
 
Haya sasa!

Kumbe upo kwenye mpango wa kufanya "UTAFITI"? Huku ukitegemea unafanya biashara?
Huwezi kufanya biashara namna hiyo.

Kuku wa kienyeji na Chotara, usitegemee matokeo yenye ufanisi zaidi ya hao wazazi wao.
Mkuu unapoanza biashara ambayo huifahmu kiundani, kunakua na darasa ambalo utaruhusu kufanya makosa nakujirekebisha nandio maana naamua project kuipeleka polepole. Ninauwezo wakufanya kama Jamaa anachosema lakini nafahamu changamoto zakuzalisha kuku wengi Kwa pamoja ambo soko lake nachangamoto zake sijazijua vizuri. Kwahio nahitaji mradi ukue polepole na nikabiliane na changamoto zinazojitokeza huku nikiendelea kupata uzoefu. Hata wewe mkuu wangu naamini hukuanza na kuku elfu 2 Kwa pamoja.
 
Nikuambie tu hayo mabanda uliojenga sio mabanda ya kuku na kama hujawahi fuga usiweke malengo makubwa hivyo kwanza usome mchezo alafu uingie mchezo kuku wakiwa wengi kitakachowafanya wasiendelee ni hewa bandani umejipangaje kwa hilo.

Umejifunza ufugaji wa cages? Umejifunza utawalisha kiasi gani cha chakula hao kuku 1500 au wakifika 5000 umejifunza ni aina gani ya chakula u ahitajika uwape na malengo yako mbali na kuwa na kuku kuku 5000 unazijua figisu za soko la kuku. Una mganga au unamtegemea Mungu.

Hili swali la mwisho lisikufikirishe moyo wako ulipo ndipo hazina yako ilipo
Mkuu Banda halina shida, kwasabau nibanda latofali na kuku niwachache kulifanyia mabadiliko inawezekana kadri kuku watavyoongezeka.
 
Adui mkubwa ni 'muda'.
Ningetamani sana kuchambua andiko lako toka mwanzo hadi mwisho nikuonyeshe makosa utakayoingia kwa namna unavyopanga kufanya hiyo kazi.

Kwa mfano tu: Huwajui vizuri hao kuku wa SASSO. Hao kuku hawaatamii mayai vizuri kama anavyofanya kuku wa kienyeji. Kwa hiyo hilo wazo tayari ingefaa uwe umeliondoa akilini mwako, na ufuate ushauri aliokupa mkuu 'Fursa' wa kununua mashine ya kutotolesha.

Funzo hapa ninalotaka kukupa ni hili: Katika biashara/kazi yoyote ile, kabla hujaianza, inafaa ujiandae angalau uwe na kiasi fulani cha elimu juu yake.
Hapa inaonyesha huna 'basic knowledge' kuhusu ufugaji wa kuku, na wala kuku wenyewe unaotaka kuwafuga huwajui tabia zake.
Miezi sita ya wao "kudondosha mayai", akama alivyokushauri mkuu'Fursa' na wewe kufurahia ushauri huo; mambo kama hayo ndiyo yatakayokufanya ushangae kulikoni, ukishafika huko.
Asantee Kwa mawazo yako mkuu wangu.
 
Asante mkuu wangu Kwa ushauri Bora kabisa, nimeuchukua naufanyia kazi. Kuna wahuni wanauza vifaranga ambao hawakui nahawa ndio nawahofia, pia nahitaji kupata Mbegu nzuri ndio maana nahitaji ninunue vifaranga hasa Kwa watu naowafaham na ambao nimewatembelea. Kuna mfugaji mmoja nimeingia nae makubaliano yakua ananiuzia chotara wa miezi 2 Kwa bei nafuu ndio nataka nimtumie huyu maana kwanza nimtu ambae namfaham na pia anapofanya kazi boss wake nirafiki wa Jamaa yangu.

Pia nahitaji niweze kuona progress kidogo kidogo na changamoto zao l na atleast Kila kuku 100 wawe wanatofautiana mwezi mpaka miezi miwili, hii Kuna namna itanisaidia.

Nashukuru Kwa mawazo yako mkuu wangu.
Kuku 100 watakuchelewesha;Anza na mia 300 angalau. Bajeti ulioitaja hapo inatosha Hadi kuku 500 Kwa mwezi.

Usitake kujifunza utaumia. Tumia wataalamu hakikisha vifaranga vinapata chanjo zote nitakuwekua list hapa ya chanjo na mda wa kuchanja
 
Umeniita, nami nipo hapa.

Kwanza nitoe dukuduku. Huwa sipendi ubabaishaji katika mambo muhimu kama hili unalozungumzia hapa.

Stori yako haikunyooka sana, pamoja na kuwepo kwa mambo yanayoonekana kuwa ya maana.

Nitoe mfano: Umesema umri wako ni miaka mingapi?

Umesema unazo biashara nyingine zinazokuingizia pato la kukulipa mshahara wa Tsh. ngapi? Hizi biashara zinaendeleaje, na itakuwa vipi utakapojitumbukiza kwenye ufugaji wa holela usiokuwa na mpangilio kama huu ulioeleza hapa!

Sasa ukitaka nishiriki kwenye kutoa ushauri katika ufugaji, nyoosha stori yako ieleweke vizuri. Habari yako ina michongo mingi isiyo eleweka.
Ukilazimisha kufuga kwa kutegemea mpangilio huu ulioweka hapa nikwambie bila kusita, kwamba hufiki popote.

Kwa sasa nitakuacha na hayo machache.

N.B. Naona hapo mkuu 'Fursa Kibao' kakutia mori!
Kama unategemea kufuga kwa namna hiyo aliyoeleza hapo, utafuga kwa kusadikika tu!

Kumbuka, usinilaumu. Si nia yangu kukukatisha tamaa, lakini andiko lako kama ulivyoliwasilisha, lina maswali mengi yasiyoeleweka. Kwa kifupi ni kwamba siamini kuwa wewe uko tayari kufuga kuku.
We jamaa sijamtia Mori; ni kitu milikwisha kufanya tena Kwa kuku wa kienyeji matikeo yakawa mazuri kilichoniangusha ni msimamizi.

Naanza tena awamu hii naingia ubia na mwangalizi wa kugawana nae faida
 
Mkuu Banda halina shida, kwasabau nibanda latofali na kuku niwachache kulifanyia mabadiliko inawezekana kadri kuku watavyoongezeka.
Kuna muda wataongezeka hutahitaji mabadiliko utahitaji nafasi hebu piga hesabu zako vizuri
 
We jamaa sijamtia Mori; ni kitu milikwisha kufanya tena Kwa kuku wa kienyeji matikeo yakawa mazuri kilichoniangusha ni msimamizi.

Naanza tena awamu hii naingia ubia na mwangalizi wa kugawana nae faida
Nipo paleee utapigwa za kichwa hutaamini bongo hii hii ubia
 
Hesabu za excell hizi!..... jipe miakà hata 5 uje utoe ushuhuda wa kuku 5000!....
Weka na haya
.kuibiwa mayai
.Kuibiwa kuku,
Vifo vyà kuku kutokana na magonjwa ya milipuko,
Chakula kutokua bora na vikuku kudumaa.
Wafanyakqzi kuacha kazi ghafla[emoji2962]
Kupanda bei za chakula ..
Hapo pa wafanyakazi kuacha ghafla palisha nipiga na kitu kizito[emoji3]
 
Back
Top Bottom