Naomba ushauri wanangu juu ya maneno ya Yesu Eloi Eloi alipokuwa akilia sijui Mungu kweli analia na kumlilia mungu mwingine!!1

Naomba ushauri wanangu juu ya maneno ya Yesu Eloi Eloi alipokuwa akilia sijui Mungu kweli analia na kumlilia mungu mwingine!!1

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1739246755548.png

Eloi Eloi Lama sabakhtani " Mungu wangu. Mungu wangu mbona waniacha." Je alipokuwa mimba ina maana dunia haikuwa na Mungu? Je Mungu hakuwa na namna ya 'kuwakomboa' hao waliopotezwa na shetani aliyemtengeneza? Je Mungu asingemtengeza shetani, hawa watu wetu wangepotoshwa na nani? Je alimtoa kwa Mungu gani wakati yeye ndiye alikuwa baba yake? Maswali ni mengi kuliko majibu.​

 
Hapo kwenye utatu mtakatifu ndio uwongo unapoanzia
Menu
Chagua lugha yako

Tafuta​


Tafuta
MISA KWA KILATINI: MUBASHARA
RatibaPodcast
Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe.
Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe.
KANISA

Fumbo la Utatu Mtakatifu Ni Msingi wa Imani na Maisha ya Kikristo​

Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe; ni chemchemi ya mafumbo mengine yote ya imani, nuru inayowaangaza. Hili ni fundisho la kweli ya imani. Imani Katoliki ndiyo hii: Tunamwabudu Mungu Mmoja katika Utatu na Utatu katika Umoja, bila kuchanganya nafsi, wala kutenganisha uwamo; kwani ni Nafsi ya Baba, nyingine ya Mwana na nyingine ya Roho Mtakatifu, ni umungu mmoja!

Na Padre Paschal Ighondo, - Vatican.
Tafakari ya Neno la Mungu katika Sherehe ya Fumbo la Utatu Mtakatifu. Kipindi cha cha Pasaka kimehitishwa kwa Sherehe Pentekoste. Tuko kipindi cha kawaida cha mwaka wa kiliturujia. Hivyo sherehe hii ya Utatu Mtakatifu tunaiadhimisha jumapili ya 8 kipindi cha kawaida na Jumapili ya 9 tutaadhimisha Sherehe ya Ekaristi Takatifu. Hii ni kwa sababu tulipofika juma la 6 kipindi cha kawaida tulianza kipindi cha kwaresima siku 40, majuma 5, na baadae Juma Kuu lilifunguliwa kwa dominika ya matawi kikifuatiwa na kipindi cha Pasaka majuma 7. Kumbe masomo ya jumapili ya 7, 8 na 9 kipindi cha kawaida mwaka B, 2024, hatutayatafakari kwa sababu masomo ya sherehe hizi yanachukua nafasi yao. Mababa wa Kanisa wanasema, Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe. Kwa hivyo ni chemchemi ya mafumbo mengine yote ya imani, nuru inayowaangaza. Hili ni fundisho la kweli ya imani. Imani Katoliki ndiyo hii: Tunamwabudu Mungu Mmoja katika Utatu na Utatu katika Umoja, bila kuchanganya nafsi, wala kutenganisha uwamo; kwani ni Nafsi ya Baba, nyingine ya Mwana na nyingine ya Roho Mtakatifu, ni umungu mmoja, wa Baba, na wa Mwana na wa Roho Mtakatifu; utukufu ulio sawa, ukuu wa pamoja wa milele. Rej. KKK 222-266. Utatu Mtakatifu ni Fumbo la imani kuwa katika Mungu mmoja kuna nafsi tatu, Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Kwa Utatu Mtakatifu tunafunuliwa upendo, wema, ukuu, mamlaka na huruma ya Mungu katika Nafsi hizi tatu. Ndiyo maana wimbo wa mwanzo unaofungua maadhimisho ya sherehe hii unasema wazi; “Asifiwe Mungu Baba na Mwana na Roho Mtakatifu; kwa sababu ametufanyizia huruma yake.”
Fumbo la Utatu Mtakatifu kiini cha imani ya Kanisa

Fumbo la Utatu Mtakatifu kiini cha imani ya Kanisa
Hili ni fumbo la imani kuwa hizi nafsi tatu za Mungu mmoja, zote ni sawa katika uasili na imani tu, yaelewa. Ndiyo maana Mama Kanisa katika sala ya mwanzo anakiri kuwa Mungu ndiye anayetufunulia hili fumbo na anazidi kumuomba atujalie ufahamu wake zaidi akisali; “Ee Mungu Baba, uliwafumbulia watu fumbo lako la ajabu, hapo ulipompeleka Neno wako na Roho Mtakatifu ulimwenguni. Utujalie kuutambua utukufu wa Utatu Mtakatifu wa milele katika kuungama imani ya kweli na kuabudu Umoja wa Mungu katika enzi ya fahari yake”. Ni katika Utatu Mtakatifu ndimo tunamopata ufupisho na simulizi la asili yetu tangu kuumbwa hata ukombozi kwa njia ya Yesu Kristo nafsi ya pili ya Mungu, ndimo zinamolala sala zetu na matumaini yetu kufikia utimilifu wa upendo kwa kuungana na Mungu aliye asili ya upendo. Somo la kwanza ni la kitabu cha Kumbukumbu la Torati (4:32-34, 39-40). Katika somo hili Musa anataja matendo makuu ya Mungu aliyolitendea taifa lake teule, Israeli. Hivyo anawakumbusha watu wake wawe waaminifu kwa Mungu wao. Maana Yeye ndiye aliyewatoa utumwani Misri na kuwaongoza katika nchi ya Ahadi. Aliwatoa katika tope la dhambi nakuwatakasa, hivyo wasirudie tena matapishi ya dhambi kwa kuabudu sanamu. Bali wazishike amri zake ili wapate kufanikiwa wao na watoto wao. Ni katika muktadha huu mzaburi alipotafakari makuu ya Bwana aliimba maneno haya ya wimbo wa katikati akisema; “Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao. Kwa kuwa neno la Bwana ni adili, na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu. Bwana huzipenda haki na hukumu, nchi imejaa fadhili za Bwana. Kwa neno la Bwana mbingu zilifanyika, na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake. Maana Yeye alisema, ikawa; Na yeye aliamuru, ikasimama. Tazama, jicho la Bwana li kwao wamchao, wazingojeao fadhili zake; Yeye huwaponya nafsi zao na mauti; Na kuwahuisha wakati wa njaa. Nafsi zetu zinamngoja Bwana, Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu. Ee Bwana, fadhili zako zikae nasi. Kama vile tulivyokungoja Wewe (Zab. 33:4-6, 9, 13, 18, 20, 22).
Utatu Mtakatifu ni Fumbo la Imani katika Mungu mmoja Nafsi

Utatu Mtakatifu ni Fumbo la Imani katika Mungu mmoja Nafsi
 
Ushirikina mtupu hamna lolote......
Menu
Chagua lugha yako

Tafuta​


Tafuta
MISA KWA KILATINI: MUBASHARA
RatibaPodcast
Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe.
Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe.
KANISA

Fumbo la Utatu Mtakatifu Ni Msingi wa Imani na Maisha ya Kikristo​

Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe; ni chemchemi ya mafumbo mengine yote ya imani, nuru inayowaangaza. Hili ni fundisho la kweli ya imani. Imani Katoliki ndiyo hii: Tunamwabudu Mungu Mmoja katika Utatu na Utatu katika Umoja, bila kuchanganya nafsi, wala kutenganisha uwamo; kwani ni Nafsi ya Baba, nyingine ya Mwana na nyingine ya Roho Mtakatifu, ni umungu mmoja!

Na Padre Paschal Ighondo, - Vatican.
Tafakari ya Neno la Mungu katika Sherehe ya Fumbo la Utatu Mtakatifu. Kipindi cha cha Pasaka kimehitishwa kwa Sherehe Pentekoste. Tuko kipindi cha kawaida cha mwaka wa kiliturujia. Hivyo sherehe hii ya Utatu Mtakatifu tunaiadhimisha jumapili ya 8 kipindi cha kawaida na Jumapili ya 9 tutaadhimisha Sherehe ya Ekaristi Takatifu. Hii ni kwa sababu tulipofika juma la 6 kipindi cha kawaida tulianza kipindi cha kwaresima siku 40, majuma 5, na baadae Juma Kuu lilifunguliwa kwa dominika ya matawi kikifuatiwa na kipindi cha Pasaka majuma 7. Kumbe masomo ya jumapili ya 7, 8 na 9 kipindi cha kawaida mwaka B, 2024, hatutayatafakari kwa sababu masomo ya sherehe hizi yanachukua nafasi yao. Mababa wa Kanisa wanasema, Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe. Kwa hivyo ni chemchemi ya mafumbo mengine yote ya imani, nuru inayowaangaza. Hili ni fundisho la kweli ya imani. Imani Katoliki ndiyo hii: Tunamwabudu Mungu Mmoja katika Utatu na Utatu katika Umoja, bila kuchanganya nafsi, wala kutenganisha uwamo; kwani ni Nafsi ya Baba, nyingine ya Mwana na nyingine ya Roho Mtakatifu, ni umungu mmoja, wa Baba, na wa Mwana na wa Roho Mtakatifu; utukufu ulio sawa, ukuu wa pamoja wa milele. Rej. KKK 222-266. Utatu Mtakatifu ni Fumbo la imani kuwa katika Mungu mmoja kuna nafsi tatu, Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Kwa Utatu Mtakatifu tunafunuliwa upendo, wema, ukuu, mamlaka na huruma ya Mungu katika Nafsi hizi tatu. Ndiyo maana wimbo wa mwanzo unaofungua maadhimisho ya sherehe hii unasema wazi; “Asifiwe Mungu Baba na Mwana na Roho Mtakatifu; kwa sababu ametufanyizia huruma yake.”
Fumbo la Utatu Mtakatifu kiini cha imani ya Kanisa

Fumbo la Utatu Mtakatifu kiini cha imani ya Kanisa
Hili ni fumbo la imani kuwa hizi nafsi tatu za Mungu mmoja, zote ni sawa katika uasili na imani tu, yaelewa. Ndiyo maana Mama Kanisa katika sala ya mwanzo anakiri kuwa Mungu ndiye anayetufunulia hili fumbo na anazidi kumuomba atujalie ufahamu wake zaidi akisali; “Ee Mungu Baba, uliwafumbulia watu fumbo lako la ajabu, hapo ulipompeleka Neno wako na Roho Mtakatifu ulimwenguni. Utujalie kuutambua utukufu wa Utatu Mtakatifu wa milele katika kuungama imani ya kweli na kuabudu Umoja wa Mungu katika enzi ya fahari yake”. Ni katika Utatu Mtakatifu ndimo tunamopata ufupisho na simulizi la asili yetu tangu kuumbwa hata ukombozi kwa njia ya Yesu Kristo nafsi ya pili ya Mungu, ndimo zinamolala sala zetu na matumaini yetu kufikia utimilifu wa upendo kwa kuungana na Mungu aliye asili ya upendo. Somo la kwanza ni la kitabu cha Kumbukumbu la Torati (4:32-34, 39-40). Katika somo hili Musa anataja matendo makuu ya Mungu aliyolitendea taifa lake teule, Israeli. Hivyo anawakumbusha watu wake wawe waaminifu kwa Mungu wao. Maana Yeye ndiye aliyewatoa utumwani Misri na kuwaongoza katika nchi ya Ahadi. Aliwatoa katika tope la dhambi nakuwatakasa, hivyo wasirudie tena matapishi ya dhambi kwa kuabudu sanamu. Bali wazishike amri zake ili wapate kufanikiwa wao na watoto wao. Ni katika muktadha huu mzaburi alipotafakari makuu ya Bwana aliimba maneno haya ya wimbo wa katikati akisema; “Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao. Kwa kuwa neno la Bwana ni adili, na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu. Bwana huzipenda haki na hukumu, nchi imejaa fadhili za Bwana. Kwa neno la Bwana mbingu zilifanyika, na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake. Maana Yeye alisema, ikawa; Na yeye aliamuru, ikasimama. Tazama, jicho la Bwana li kwao wamchao, wazingojeao fadhili zake; Yeye huwaponya nafsi zao na mauti; Na kuwahuisha wakati wa njaa. Nafsi zetu zinamngoja Bwana, Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu. Ee Bwana, fadhili zako zikae nasi. Kama vile tulivyokungoja Wewe (Zab. 33:4-6, 9, 13, 18, 20, 22).
Utatu Mtakatifu ni Fumbo la Imani katika Mungu mmoja Nafsi

Utatu Mtakatifu ni Fumbo la Imani katika Mungu mmoja Nafsi
 
Menu
Chagua lugha yako

Tafuta​


Tafuta
MISA KWA KILATINI: MUBASHARA
RatibaPodcast
Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe.
Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe.
KANISA

Fumbo la Utatu Mtakatifu Ni Msingi wa Imani na Maisha ya Kikristo​

Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe; ni chemchemi ya mafumbo mengine yote ya imani, nuru inayowaangaza. Hili ni fundisho la kweli ya imani. Imani Katoliki ndiyo hii: Tunamwabudu Mungu Mmoja katika Utatu na Utatu katika Umoja, bila kuchanganya nafsi, wala kutenganisha uwamo; kwani ni Nafsi ya Baba, nyingine ya Mwana na nyingine ya Roho Mtakatifu, ni umungu mmoja!

Na Padre Paschal Ighondo, - Vatican.
Tafakari ya Neno la Mungu katika Sherehe ya Fumbo la Utatu Mtakatifu. Kipindi cha cha Pasaka kimehitishwa kwa Sherehe Pentekoste. Tuko kipindi cha kawaida cha mwaka wa kiliturujia. Hivyo sherehe hii ya Utatu Mtakatifu tunaiadhimisha jumapili ya 8 kipindi cha kawaida na Jumapili ya 9 tutaadhimisha Sherehe ya Ekaristi Takatifu. Hii ni kwa sababu tulipofika juma la 6 kipindi cha kawaida tulianza kipindi cha kwaresima siku 40, majuma 5, na baadae Juma Kuu lilifunguliwa kwa dominika ya matawi kikifuatiwa na kipindi cha Pasaka majuma 7. Kumbe masomo ya jumapili ya 7, 8 na 9 kipindi cha kawaida mwaka B, 2024, hatutayatafakari kwa sababu masomo ya sherehe hizi yanachukua nafasi yao. Mababa wa Kanisa wanasema, Fumbo la Utatu Mtakatifu sana ndilo Fumbo la Msingi la imani na la maisha ya Kikristo. Ni Fumbo la Mungu ndani yake mwenyewe. Kwa hivyo ni chemchemi ya mafumbo mengine yote ya imani, nuru inayowaangaza. Hili ni fundisho la kweli ya imani. Imani Katoliki ndiyo hii: Tunamwabudu Mungu Mmoja katika Utatu na Utatu katika Umoja, bila kuchanganya nafsi, wala kutenganisha uwamo; kwani ni Nafsi ya Baba, nyingine ya Mwana na nyingine ya Roho Mtakatifu, ni umungu mmoja, wa Baba, na wa Mwana na wa Roho Mtakatifu; utukufu ulio sawa, ukuu wa pamoja wa milele. Rej. KKK 222-266. Utatu Mtakatifu ni Fumbo la imani kuwa katika Mungu mmoja kuna nafsi tatu, Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. Kwa Utatu Mtakatifu tunafunuliwa upendo, wema, ukuu, mamlaka na huruma ya Mungu katika Nafsi hizi tatu. Ndiyo maana wimbo wa mwanzo unaofungua maadhimisho ya sherehe hii unasema wazi; “Asifiwe Mungu Baba na Mwana na Roho Mtakatifu; kwa sababu ametufanyizia huruma yake.”
Fumbo la Utatu Mtakatifu kiini cha imani ya Kanisa

Fumbo la Utatu Mtakatifu kiini cha imani ya Kanisa
Hili ni fumbo la imani kuwa hizi nafsi tatu za Mungu mmoja, zote ni sawa katika uasili na imani tu, yaelewa. Ndiyo maana Mama Kanisa katika sala ya mwanzo anakiri kuwa Mungu ndiye anayetufunulia hili fumbo na anazidi kumuomba atujalie ufahamu wake zaidi akisali; “Ee Mungu Baba, uliwafumbulia watu fumbo lako la ajabu, hapo ulipompeleka Neno wako na Roho Mtakatifu ulimwenguni. Utujalie kuutambua utukufu wa Utatu Mtakatifu wa milele katika kuungama imani ya kweli na kuabudu Umoja wa Mungu katika enzi ya fahari yake”. Ni katika Utatu Mtakatifu ndimo tunamopata ufupisho na simulizi la asili yetu tangu kuumbwa hata ukombozi kwa njia ya Yesu Kristo nafsi ya pili ya Mungu, ndimo zinamolala sala zetu na matumaini yetu kufikia utimilifu wa upendo kwa kuungana na Mungu aliye asili ya upendo. Somo la kwanza ni la kitabu cha Kumbukumbu la Torati (4:32-34, 39-40). Katika somo hili Musa anataja matendo makuu ya Mungu aliyolitendea taifa lake teule, Israeli. Hivyo anawakumbusha watu wake wawe waaminifu kwa Mungu wao. Maana Yeye ndiye aliyewatoa utumwani Misri na kuwaongoza katika nchi ya Ahadi. Aliwatoa katika tope la dhambi nakuwatakasa, hivyo wasirudie tena matapishi ya dhambi kwa kuabudu sanamu. Bali wazishike amri zake ili wapate kufanikiwa wao na watoto wao. Ni katika muktadha huu mzaburi alipotafakari makuu ya Bwana aliimba maneno haya ya wimbo wa katikati akisema; “Heri taifa ambalo Bwana ni Mungu wao. Kwa kuwa neno la Bwana ni adili, na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu. Bwana huzipenda haki na hukumu, nchi imejaa fadhili za Bwana. Kwa neno la Bwana mbingu zilifanyika, na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake. Maana Yeye alisema, ikawa; Na yeye aliamuru, ikasimama. Tazama, jicho la Bwana li kwao wamchao, wazingojeao fadhili zake; Yeye huwaponya nafsi zao na mauti; Na kuwahuisha wakati wa njaa. Nafsi zetu zinamngoja Bwana, Yeye ndiye msaada wetu na ngao yetu. Ee Bwana, fadhili zako zikae nasi. Kama vile tulivyokungoja Wewe (Zab. 33:4-6, 9, 13, 18, 20, 22).
Utatu Mtakatifu ni Fumbo la Imani katika Mungu mmoja Nafsi

Utatu Mtakatifu ni Fumbo la Imani katika Mungu mmoja Nafsi
Utatu hauna ushahidi popote kwenye bibulia ni uzushi na ushirikina Yesu hajawahi kufanya ujinga huo
 
Utatu hauna ushahidi popote kwenye bibulia ni uzushi na ushirikina Yesu hajawahi kufanya ujinga huo
Maswali ya Bibilia yajibiwa
Menu icon

Jua jinsi ya ...​

Kutumia milele na Mungu

Pata msamaha kutoka kwa Mungu

Swali

Biblia inafundisha nini juu ya utatu?​

Jibu

Mungu ni mkubwa kuliko sisi na tusitarajie kumuelewa katika kila jambo. Utatu ni jambo gumu kulieleza kwa kina. Hakuna mwanadamu anayeweza kulielewa kwa undani zaidi. Biblia inafundisha kuwa Baba ni Mungu, ya kuwa Yesu ni Mungu na pia Roho mtakatifu ni Mungu. Biblia pia inafundisha kuna Mungu mmoja tu. Ijapokuwa tunaweza kufahamu uhusiano tofauti tofauti wa sehemu za utatu huu ni vigumu kuelewa kwa akili ya kibinadamu. Hii haimaanishi kuwa si kweli au si maagizo ya Biblia.

Utatu ni Mungu mmoja katika nafsi tatu. Aya za biblia zifuatazo zitatumika kufafanua neno hili.

1) Kuna Mungu mmoja: kumbukumbu la torati 6:4; wakorintho wa kwanza 8:4; wagalatia 3:20; Timotheo wa kwanza 2:5.

2) utatu una nafsi tatu: mwanzo 1:1; 1:26; 3:22; 11:7 Isaya 6:8; 48:16; 61:1; Mathayo 3:16-17; Mathayo 28:19; wakorintho wa pili 13;14. Katika mwanzo 1:1 neno la wingi “Elohim” linatumika. Katika mwanzo 1:26; 3:22; 11:7 na Isaya 6:8, neno la wingi “sisi” limetumika. Kwa hivyo neno “Elohim’ na “sisi” kumaanisha zaidi ya mmoja halina pingamizi.

Katika Isaya 48:16 na 61:1, Mwana azungumza huku akihusisha Baba na Roho Mtakatifu. Fananisha Isaya 61:1na Luka 4:14-19 kuona Mwana akizungumza. Mathayo 3:16-17 inaelezea ubatizo wa Yesu. Anayeonekana hapa ni Mungu Roho mtakatifu akimshukia Mungu Mwanahuku Mungu Baba akitangaza furaha yake katika Mwana. Mathayo 28:19 na wakorintho wa pili 13:14 ni mifano ya nafsi tatu katika Mungu mmoja.

3) Nafsi hizi tatu zinatambulika katika maandiko. Katika agano la kale “ BWANA” linatofautishwa na “Bwana” (mwanzo 19:24; Hosea 1:4). “BWANA” ana “Mwana” (zaburi 2:7, 12; Methali 30:2-4). Roho anatofautishwa na “BWANA” (hesabu 27:18) na pia kutoka “Mungu” (zaburi 51:10-12). Mungu mwana atofautishwa na Mungu Baba (zaburi 45:6-7; waebrania1:8-9). Katika agano jipya, Yohana 14:16-17 ndipo Yesu anazungumza na Baba juu ya kuleta Msaidizi, Roho mtakatifu. Hii ina maana ya kuwa Yesu hakujichukulia yeye mwenyewe kuwa Baba wala Roho Mtakatifu. Katika kila mahali ndani ya agano jipya Yesu alipozungumza na Mungu Baba alikuwa akizungumza na nafsi moja wapo ya Utatu – Baba.

4) kila nafsi katika utatu huu ni Mungu: Baba ni Mungu: Yohana 6:27; warumi 1:7; petro wa kwanza 1:2. Mwana ni Mungu: Yohana 1:1, 14; warumi 9:5; wakolosai 2:9; waebrania 1:8; Yohana wa kwanza 5:20. Roho mtakatifu ni Mungu: Matendo ya mitume 5:3-4; wakorintho wa kwanza 3:16 (anayedumu ndani ni Roho mtakatifu –warumi 8:9; Yohana 14:16 –17; Matendo ya mitume 2:1—4).

5) Katika mpangilio ndani ya utatu huu: maandiko yanaonyesha kuwa Roho Mtakatifu humtumikia Baba na Mwana na Mwana humtumikia Baba. Huu ni uhusiano wa ushirika wao wala hupunguzi uungu wa nafsi yoyote ile. Kuhusu Mwana tazama: luka 22:42; Yohana 5:36; Yohana 20:21; Yohana wa kwanza 4:14. kuhusu Roho Mtakatifu tazama Yohana 14:16; 14:26; 15:26; 16:7 na hasa Yohana 16:13-14.

6) Majukumu ya kila nafsi katika utatu: Baba ndiye aliyesababisha kuwako kwa 1) ulimwengu (wakorintho wa kwanza 8:6; Ufunuo wa Yohana 4:11), 2) ufunuo wa kimungu (Ufunuo wa Yohana 1:1) 3)wokovu (Yohana 3:16-17); Matendo ya kibinadamu ya Yesu ( Yohana 5:17; 14:10). Baba anaonekana kwanza katika haya yote.

Mwana ni wakala ambaye Baba humtumia kufanyia haya: 1) Kuumba na kustawisha ulimwengu (wakorintho wa kwanza 8:6; Yohana 1:3; wakolosai 1:16-17); 2) ufunuo wa kimungu (Yohana 1:1; Mathayo 11:27; Yohana 16:12-15; Ufunuo wa Yohana 1:1); na 3) wokovu ( wakorintho wa pili 5:19; Mathayo 1:21; Yohana 4:42). Baba alifanya mambo haya yote kupitia Mwana anayetenda kazi kama mwakilishi wake.

Roho Mtakatifu ndiye anayetumiwa na Baba kufanya haya: 1) uumbaji na ustawishaji wa ulimwengu (mwanzo 1:2; Ayubu 26:13; zaburi 104: 30); 2) ufunuo wa kimungu (Yohana 16:12-15; waefeso 3:5; petro wa pili 1:21); 3) wokovu (Yohana 3:6; Tito 3:5; petro wa kwanza 1;2); na 4) matendo ya Yesu ( Isaya 61:1; Matendo ya mitume 10;38). Haya yote Baba ayatenda kupitia Roho Mtakatifu.

Baba, Mwana na Roho si vipande vya Mungu bali kila nafsi ni Mungu. Mungu asiyeonekana na macho hawezi kuelezwa kwa usahihi na mwenye kuona na macho ya kibinadamu akaeleweka. Lakini katika hali zote tazama Mungu kama nafsi tatu zisizogawanyika kuwa Miungu mitatu bali Mungu mmoja tu. “jinsi zilivyo kuu utajiri wa hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazitafutikani! Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana?” 9 warumi 11:33-34)
 
View attachment 3232774

Eloi Eloi Lama sabakhtani " Mungu wangu. Mungu wangu mbona waniacha." Je alipokuwa mimba ina maana dunia haikuwa na Mungu? Je Mungu hakuwa na namna ya 'kuwakomboa' hao waliopotezwa na shetani aliyemtengeneza? Je Mungu asingemtengeza shetani, hawa watu wetu wangepotoshwa na nani? Je alimtoa kwa Mungu gani wakati yeye ndiye alikuwa baba yake? Maswali ni mengi kuliko majibu.​


Mpokee kwanza Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako - kwa maana ya KUOKOKA, ndipo utajazwa Roho Mtakatifu, naye atakufunulia siri ya Utatu Mtakatifu. Maana Roho wa Mungu huyafunua yote hata Yale ambayo ni mafumbo ya Mungu. 1 Kor 2:10

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Kichwa cha habari na mambo uliyoandika mbona unataka kujichanganya wewe mwenyewe 😅
 
Sijui kuna nini hizi mada zimeshika sana kasi kipindi hichi
 
View attachment 3232774

Eloi Eloi Lama sabakhtani " Mungu wangu. Mungu wangu mbona waniacha."​

Yesu hapo alinena kwa Lugha hakuna ajuaye alimaanisha nini?

Ndio wengine wakasema anasema Mungu wangu umeniacha wengine wakssema waliposikia Eloi,Eloi wakasema anamwita Eliya hakuna aliyejua hasa aliongea nini sababu alinena kwa Lugha
 
Back
Top Bottom