edinajailos
Member
- Oct 2, 2012
- 22
- 18
Tangu nimeolewa nina miaka mitano Lakini sijabahatika kupata mtoto.Cha ajabu mme wangu anamazoea ya kunido mara moja tu kila siku(yaani round moja tu analala) ingawa naridhika je hiyo ni sawa.Na pia huwa anapenda sana kunido kwa syle ya Mbwa je hiyo nayo ni sawa kiafya.Naomba ushauri.