Naomba ushauri wenu jamani kuhusu huyu mme wangu

Naomba ushauri wenu jamani kuhusu huyu mme wangu

Unataka msaada gani dadangu, wa styles za ku..do, ku..do mara1, au kutopata mtoto. Sioni kama kuna shida ktk hiyo ku..do (dog style+ ku..do mara1) kama wote mnaridhika na kufikishana kileleni. Kama wewe unakereka na hiyo dog style nazan ni kiasi cha kueleweshana. Nilicho"note" ktk mapenzi yenu ni kuwa wewe uko "passive" yaani mpaka mumeo ajisikie ndo mu..do. Badilika dadangu, dunia ya leo cyo kula dhambi zako zote ukimaliza funika. Tatizo kubwa ninalona ni hapo kutokupata mtoto, au mmezuia kwa makusudi i.e uzazi wa mpango. Kama sivyo wote wawili mkapime inawezeka either mmojawenu au wote ana/mnatatizo. Je, mumeo anachukuliaje hilo tatizo? Kaa chini na mumeo muongee vzr kuhusu hilo tatizo. Kumbuka mara nyingi wanaume ni vigumu sana kuelewa na wakaidi kwenda kupima. Mweleweshe taratibu, naamini atakuelewa.
 
Kama mnafanya kila siku goli moja hii si sawa coz inasababisha sperm hazikomai yaani anapata immature sperm biologically tunaita azoospermia hizi haziwezi sababisha mimba. Hivyo ushauri ni kuwa kwa kuwa mnatafuta mtoto mnatakiwa mtime dangerous days yaani kuanzia siku ya 10 hadi siku ya 17 kama unamzunguko wa siku 28: siku nyingine msifanye tendo la ndoa ili kuacha sperm ziwe mature na ale vizuri natural food and protein food kama maharage, samaki karanga, na mboga za majani. Pia afanye mazoezi and kipindi hiki chote asiende nje ya ndoa.
Kama itashindikana hapo mwende hospital kwaajili ya vipimo vya sperm analysis na vipimo kwako pia kama HSG na vingine.
Kuhusu style hii inategemeana na wafanyaji kama unaridhika then no problem. Ila kubadilisha style inaleta flavor zaidi na hii husaidia mwanaume kutoejaculate mapema na hivyo mwanamke kufika kileleni kwa uzuri zaidi. Nakutakia mafanikio mema.
Kama vip waweza nipa mzunguko wako. Pia swali la kizushi ulishawahi kutumia njia za uzazi wa mpango?

good lesson
 
Pole sana, wanandoa wengi nyumbani huwa hakuna goli la kurudia goli ni moja tuu, kuhusiana na swala la mtoto mwende hospital mkapimwe, na pia kama kuna style unazijua funguka kwa mumeona umuonnyeshe pengine mwenzio hana ajualo zaidi ya hiyo ya kidogdog, ila nyumba zina mambo mengi sana
 
Raundi moja kama ni suala la mimba inatosha lakini pia jua wazi kama hajapata mtoto ni suala la kwenda Hosp
 
tangu nimeolewa nina miaka mitano lakini sijabahatika kupata mtoto.cha ajabu mme wangu anamazoea ya kunido mara moja tu kila siku(yaani round moja tu analala) ingawa naridhika je hiyo ni sawa.na pia huwa anapenda sana kunido kwa syle ya mbwa je hiyo nayo ni sawa kiafya.naomba ushauri.

mnatakiwa kutaymu siku zenu za mapenzi. Kupiga bao moja na kulala inategemea na kazi anayo fanya mwenzio na muda anao rudi nyumbani. Iliaweze kufanya zaidi ya maramoja lazima awe amepumzika vya kutosha. Pili lazima uwe unampandisha mzuka wakati wa gemu. Sio gogo style.
 
Back
Top Bottom