Naomba ushauri wenu juu ya haya magari ya kutumia Umeme yaliyoingia nchini, nimeyapenda kwa mazingira ya sasa

Unanunua power bank au unasafiri na generator
 
Tanesco wapuuzi,sio wakufanya hii kazi...bora watu binafsi wafanye hii kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…