hii sasa ni fursa kubwa sana kwa shirika letu pendwa la Tanesco,muda huu ndio wangetumia kutuma wataalamu wake kwenda nje kujifunza jinsi mfumo huo utakavyokuwa wa kuchaji magari ya Umemena wao kuanza kuweka stand za kuchajia,tena hii fursa wakiitumia vizuri ndio litakuwa shirika lenye pesa nyingi kuliko taasisi nyingine