naomba ushauri wenu

naomba ushauri wenu

ahsante kwa ushauri wako ndugu, lakini napenda nikukosowe kidogo kuhusu hapo uliposema kuwa watu huku nje tunatanuwa sana. Hilo sio kweli na ni mawazo ya wengi wa waliopo nyumbani. Ukweli hutokea baadhi ya siku kukawepo na mikusanyiko ya hapa na pale na sio kila mwisho wa week end, mara nyingi hukuntana kwa sababu kuna jambo iwe harusi, msiba n.k hivyo ndivyo ilivyo pande hizi niliko, sijui kwengine though

Usinilaumu kufikiria hayo hasa kwa tunavyosikia jinsi maisha ya huko yalivyo. Tunasikia huko hakuna wakati wa kupoteza kwa ajili ya kazi. Sasa unapotwambia kuwa wake watatu wa watu tayari wanakufuatilia bila shaka ipo nafasi ya kujitanua. Halafu haya mawakati unayokutana kutana na wenzako kiasi cha wanamama kukushobokea yanapatikana wapi, iwapo hakuna mataimu ya kutanua huko?
 
Wadada wengi makini hawapendi wanaume wa design yako; mimi mmoja wapo. Simshangai huyo dada aliyekuona player. Maana ni dream za wadada makini kuwa na private husband na si cha wote.

Mimi mume wangu kila mtu wa jinsia ya kike ambaye si ndugu yangu ananilalamikia kuwa anaringa (marafiki na ofisi mates wangu) kisa uwa anawachunia kama hawajuhi wakikutana mitaani. Unajua nawajibu vipi? Jamani mume wangu wala hana maringo. Kimoyo moyo nasema ongeza maringo mume wangu; na wala simwambii eti achangamkie rafiki zangu; wa kazi gani?

Nani anataka mwanaume anayemkenulia kila mtu???? Hata mimi ukinikenulia kenulia kila tunapokutana na kunichangamkia kupitiliza najua unanitaka.

ucheshi ni tabia yangu, natabasamu kwa yeyote nikutane nae awe mwanamme au mwanamke. kwa nini nibadili tabia njema kwa kuwa tu baadhi ya watu hawaridhiki na walio nao?
 
Si uwadescribe tu, kuliko kuniongezea misamiati! Relationship councillor we!

alpha females ni kama Konnie..lol
females who are natural leaders to their females friend..
you are also one of them...
 
mmmh, nimecheka tu
maana nishashika kichupa cha tindikali.

Kwa nini wee na Kaunga kuniita tomboy?

alpha females ni kama Konnie..lol
females who are natural leaders to their females friend..
you are also one of them...
 
Last edited by a moderator:
ngoja niendelee kutafakari
ngoja na Kaunga aje niwahukumu pamoja.

Salama Jabir is extreme case lol
wewe na wafuatao ni sawa

Halima mdee
Condoleeza
Angela Markus
Anna Tibaijuka
Wangari Mathai...
 
Last edited by a moderator:
ngoja niendelee kutafakari
ngoja na Kaunga aje niwahukumu pamoja.

Ila The Boss as yuzho kakupozea, wewe na Salama ni mapacha! Yaani ni kopiraiti. Yaani nakuimajini na overall ya kata K na back pack nyuma GPS imeninginizwa na ka nyundo ukienda excavation sijui wapi, na kamsuba kwenye sox. LOL
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha, huyu boss namtafutia dawa.

Sasa nyundo na GPS za nini mie hapa kariakoo.

Ila mtanitambua kuniita mie salama.

Ila The Boss as yuzho kakupozea, wewe na Salama ni mapacha! Yaani ni kopiraiti. Yaani nakuimajini na overall ya kata K na back pack nyuma GPS imeninginizwa na ka nyundo ukienda excavation sijui wapi, na kamsuba kwenye sox. LOL
 
Back
Top Bottom