Naomba ushauri

Kesha elekea kibra huyo we chinja tu, bt usitupe ndoano kwa simu au text tafuta cku umiti naye face to face then tupia neno lazma atakubali..
 
He he he... Its a matter of time n the chick will be yours. Just show that you mean it...
 
Ati Olduvai Gorge iko kipande ipi mazee?
 
He he he... Its a matter of time n the chick will be yours. Just show that you mean it...
Hahaha iko Tz, Sema ule manzi kuchanganyikiwa tu. Si kwa ubaya sometimes ni stress ya babake odinga a.k.a akwambo.
 
Kesha elekea kibra huyo we chinja tu, bt usitupe ndoano kwa simu au text tafuta cku umiti naye face to face then tupia neno lazma atakubali..
That's what I was planning by then.
Thanks for backup.
 
Joh huyo manzii mtumie ile ngoma ya sio lazima to do na akija ghetto uwe na doo ya kutosha sio kumpigia ngeli za genge
 
huko kenya odinga wanamwita Jesus of Nyanzaland
Hahaha.... Nkt!!!! Huyo akwende kabisa, ati odinga!! Huyo anafaa akuwe hawker wa street za maseno na si prezzo ya kenya. Kwanza ukitaja hiyo njina manzee unanijamisha, kaa rada mzae kichwa yako ni kombo.

Ati odinga ni jeso wa nyanza? Wacha za HOVYO huyo Buda na opposition yake kule mashinani hawaletangi shangwe kabisa.

[HASHTAG]#uhuru[/HASHTAG] tosha 2017
 
Joh huyo manzii mtumie ile ngoma ya sio lazima to do na akija ghetto uwe na doo ya kutosha sio kumpigia ngeli za genge
Lllll
Hahaha... Ngiri ziko za kumtoanisha, hata saa zingine hunicall niende base yao na si mbaya, noma ni hapo kuniita me ni bro... Aaahhh nishikwa na wazimu. Yaani noma kilo sabini na saba.
 
Ngoja nipate kiroba aisee
Hahaha.... Dandishia kabisa after hiyo tunakuja tarakea kuwasanya.... Juu wachagga hawananga noma when it comes to kwangu kwako game...
 
Lllll
Hahaha... Ngiri ziko za kumtoanisha, hata saa zingine hunicall niende base yao na si mbaya, noma ni hapo kuniita me ni bro... Aaahhh nishikwa na wazimu. Yaani noma kilo sabini na saba.

Hahah...budaa wasalimie nairobi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…