Naomba ushauri

Naomba ushauri

Hahaha.... Dandishia kabisa after hiyo tunakuja tarakea kuwasanya.... Juu wachagga hawananga noma when it comes to kwangu kwako game...
Nimekutana na binti na kijana wanatongozana kwenye michongoma huku binti ukiwa anachora chini na kijiti kijana kasimama sasa sijui wakitaka kula mzigo pale itakuwaje ile miba uwiiii
 
Nimekutana na binti na kijana wanatongozana kwenye michongoma huku binti ukiwa anachora chini na kijiti kijana kasimama sasa sijui wakitaka kula mzigo pale itakuwaje ile miba uwiiii
Hahaha Tz mna mambo chungu mzima, answer what you have been asked not what you think. Sasa hii story inaingia aje hapa? Ama na wewe umechangany kiwa kama ule binti ya ogwambo na Ile presentation ya new York kwamba Ile Gorge ya Olduvai iko +254.
Hahaha... Just kidding maana hakawii kushika nare Mara hiyo hiyo.
 
Kuna huyu Dada, ameninoki design nashikwa na ugonjwa. Tulijuana Facebook na hata tukatubu dhambi mpaka usiku, tukaonana kiukweli ni msupuuu, noma ni pale yeye aniita mimi ni kaka yake wakati mimi Niko na mishe mishe za kutupa lugha.
Kuna siku nilimtext NENO baby. Akashika nare (went mud) akanishow kuwa baby ni mimi ila yeye ni mwite jina Lake, na kama haitoshi akapendekeza ni mwite Toto dimpos. Maana ako na dimpos joh!!
Jana kanitext nakupenda, baada ya muda mfupi akatuma text inayosema nakupenda kakake Toto dimpos.
Sasa nawaulizaje? Hivi hili NENO kuitwa kaka me linanikatisha tamaa, juu me nataka nimpende kama manzi yangu, sasa hii njaro imekaaje? Kuna time asubuhi ananitext na kuniambia amka nikuchumu daaah...... Nashikwa na njeve pale tu anaponiita mimi ni kakake.

Mtuguyas Hebu mnishoo next step to cross this barrier cos I know myself when it comes to sex I'm similar to the thriller in Manila.
Si akuje kwa keja, ummange? Mengine mtamalizana kwa karau...
 
Hahaha Tz mna mambo chungu mzima, answer what you have been asked not what you think. Sasa hii story inaingia aje hapa? Ama na wewe umechangany kiwa kama ule binti ya ogwambo na Ile presentation ya new York kwamba Ile Gorge ya Olduvai iko +254.
Hahaha... Just kidding maana hakawii kushika nare Mara hiyo hiyo.
Ha ha mi sijakuelewa
 
Ha ha mi sijakuelewa
Ngoja nikueleweshe Sasa.

Give me a favor madam, you wrote something pretty far from the matter on air, is like you stepped to a wrong shit.
I asked an advice but umekuja na story ya michongoma, mara kuchora na vijiti, sijui mzigo. Anyway so from ur own view is that relating to the thread? Sometimes you need to give people around you something little bit lighter, little froth.... I mean something comforting, just like coffee, you know how it feels drinking coffee without froth? Yeah I mean that foam on coffee makes it tastes wooow...
So froth, foam you got the point.

You sound funny anyway.
 
bila shaka mtoa Uzi utakuwa no mpenzi wa movie zilizo tafsiriwaa na AFRO DJ AMINGO
 
keep going as slow as possible. Let time prove it.
 
Back
Top Bottom