Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,158
- 4,449
- Thread starter
- #21
du mkuu ni ya milango mingapi mkuu yani hyo gari yangu nazikubali kwenye 4wd ila zimenyima speed na ic ndani mbona kama ni 4silinda zinakula vzuri je tunaweza kubagain bei mkuu
Itakuwa ngumu mkuu, ni milango mi5 ni sirinda nne, na inakula mafuta vizuri tuu lakini inaniuma sana kuiuza maana uzima wake naufahamu mwenyewe na inakiyoyozi hadimu sana tofauti sana na Suzuki zingine huwa hakisumbui.