kitambaa Cha sofa
Member
- May 23, 2023
- 65
- 136
Mwanangu amemaliza darasa la saba na amepata alama hz
Ana c moja tu
D nne
Na e moja
Naomba walimu mnijuze km kuna uwezkano wa huyu dogo kupangiwa shule na selikali
Ana c moja tu
D nne
Na e moja
Naomba walimu mnijuze km kuna uwezkano wa huyu dogo kupangiwa shule na selikali