Naomba ushauri

Naomba ushauri

Lea akue aambiwe baba ake sio wewe.😂
Jan 2-5 mwaka huu nlikuwa home Kwa wazeee sasa Kuna dogo wa kwa 'faza mdogo' kalea mimba demu alivozaa salama akamchana jamaa hili sio bao lako dogo wa Miaka 20 kapata pressure
 
Bila shaka wamelazwa NCU tofauti na hapo furahia matunda ya uzinzi wako.
 
Mtoto aliyekamilika kwa hali ya kawaida anazaliwa baada ya wiki 37 hadi 42, ambayo ni wasitani wa miezi 9+, hivyo kwa mazingira yako kimbia hata usiangalie nyuma huyo siyo wako
 
Mpeleke shangazi au mtu mzima kumuona mtoto atakuja kukwambia kama ni wako au sio wako
 
Mimba sio ya kwako na mtoto sio wa kwako.Kuna jamaa juzi kati hapa miaka 28 kajitia kitanzi kuwa makini home boy
 
Kama
Kuna binti nilikutana nae kimwili 30/6/2024 amejifungua Jana 13/2/2025

Nina wasiwasi kama ni mtoto wangu, eti alitakiwa ajifungue tarehe gani na mwezi upi?
Ni mtoto wa kike ni wako ila kama ni a kiume ndio kuna utata.

Mara nyingi watoto wa kike huzaliwa kati ya miezi 8-9 ila wa kiume huzaliwa kati ya miezi 9-10 kuanzia kitungwa kwa mimba mpaka kuzaliwa. Huyo amezaliwa baada ya miezi 8 na siku 13 ambayo ni sahihi kama ni Binti ndio kazaliwa.


Yote kwa yote ukitulia fanya utaratibu wa kwenda kupima DNA test.
 
Jan 2-5 mwaka huu nlikuwa home Kwa wazeee sasa Kuna dogo wa kwa 'faza mdogo' kalea mimba demu alivozaa salama akamchana jamaa hili sio bao lako dogo wa Miaka 20 kapata pressure
Bora upigwe virungu utaugulia utajikusanya upya Ila sio upande huu wa kuzalishana.
Usionee huruma mwanamke.
 
Back
Top Bottom