RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Wakuu salama.
Kuna watu wamekuwa wakinishiwashi niingie kwenye vikoba kuwa ntapata mikopo yakukuzia biashara. Nilikuwa naomba watu waliofanikiwa kukuza mitaji kupitia vikoba wanieleze kwa undani, maana hawa wanaonishauri niingie wananiambia faida za vikoba tu ni kiwauliza hasara zake ni nini hawaniambii.
Mimi binafsi ni mwanafunzi chuo wa mwaka wa mwisho, lakini nimebahatika kuajiri watu wanne, wawili kwenye saluni barbershop, mmoja kwenye banda la mpira na mwingine kwenye mchele lakini nilihitaji nikuze mtaji zaidi. Sasa nashawishika kuingia kwenye vikoba ingawa akili yangu pia inasita.
Naombeni ushuhuda kwa waliofanikiwa.
Kuna watu wamekuwa wakinishiwashi niingie kwenye vikoba kuwa ntapata mikopo yakukuzia biashara. Nilikuwa naomba watu waliofanikiwa kukuza mitaji kupitia vikoba wanieleze kwa undani, maana hawa wanaonishauri niingie wananiambia faida za vikoba tu ni kiwauliza hasara zake ni nini hawaniambii.
Mimi binafsi ni mwanafunzi chuo wa mwaka wa mwisho, lakini nimebahatika kuajiri watu wanne, wawili kwenye saluni barbershop, mmoja kwenye banda la mpira na mwingine kwenye mchele lakini nilihitaji nikuze mtaji zaidi. Sasa nashawishika kuingia kwenye vikoba ingawa akili yangu pia inasita.
Naombeni ushuhuda kwa waliofanikiwa.