Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,428
Hii yangu nimepiga Moro Mwanza kama mara 4 sasa bila tabu kabisa. Mara zote nimeendesha bila kusimama. Yaani gari ikiwaka saa 11 asubuhi inatoboa saa 1 jioni MwanzaMkuu samahani, vip kwa safari ndefu hizo honda fit mf dar to bukoba hazisumbui?