Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Wanaishi sayari tofauti na ya kwetuza niki minaji na card b ulishawashtaki
Wanaipotosha jamiikamuiga bosi wimbo wa yatapita zuwena si ndio ilikuwa hivo
.Afu ni dini ya haki
Ndo mazingira aliyokulia,utafutaj wao ndio huo,usimlaumu sana 😅Habari zenu
Zuchu zuchu zuchu nimekuita mara tatu kwanza naomba kupongeza content nzuri ya nyimbo ambayo inawapa hamasa ya kutafuta mafanikio kwa vijana wote kike/kiume hongera.
Kwa bahati mbaya nyimbo yako imeitia dosari kwenye video kwa kuhamasisha umalaya kwa kupambana kwako hatuwezi kuwa na jamii mbovu mnayoijenga huku mkifaidika.
Maombi kwa BASATA nyimbo ifungiwe.
Full stop.
---
Huyu ana kichwa kweli. Akili zingine banaza niki minaji na card b ulishawashtaki
Kile ni kibaraza cha kuvutia mpunga na ruzuku toka wizara ya habari tu Tz. Hakuna lolote wanalofanyaItasikitisha sana kama basata watatangaza kuifungia kwa sasa. Kwa nini hawana utaratibu wa kukagua kazi kabla haijatoka? Watakuwa wanaupaisha zaidi.
Zuchu mapenzi yamekuwa mengi content hana zinapotea kichwani..Habari zenu
Zuchu zuchu zuchu nimekuita mara tatu kwanza naomba kupongeza content nzuri ya nyimbo ambayo inawapa hamasa ya kutafuta mafanikio kwa vijana wote kike/kiume hongera.
Kwa bahati mbaya nyimbo yako imeitia dosari kwenye video kwa kuhamasisha umalaya kwa kupambana kwako hatuwezi kuwa na jamii mbovu mnayoijenga huku mkifaidika.
Maombi kwa BASATA nyimbo ifungiwe.
Full stop.
---