Kwa hiyo huu mkataba umebuniwa na wahuni ?Sitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Waislam kila wakipewa nchi wanaiharibu alikwepo mwinyi alicho fanya anajua mwenyewe kaja mkapa kaweka mambo sawa haya kaja kikwete nusu nchi itaifishwe ,kaja magufuli kaweka mambo sawa haya sasa mwingine huyoo anaanz kuuza bandari baada ya kuuza mbuga ya wanyama , sio mda tutasikia kipande cha dar es salaam hadi pwani ni mali ya dubai hatari hiiHakuna mkataba wa bandari baina ya Saudi Arabia na Tanzania.
Nijuavyo kuna mkataba baina ya Falme ya Dubai na Tanzania.
Kubatilisha inawezekana, atatokea Rais mwingine jasiri ataivunjilia mbali.Translation: Ndoa hii ikishafungwa, kamwe katu kabisa hakuna yeyote anayeweza kuibatilisha -- awe mtawala, rais, shekh, padre, kasisi, katekista, ama askofu -- hata kama pande hizi mbili zigombane na kuhasimiana kiasi cha kung'oana meno ama kunyweshana sumu.
Tafsiri ninayoipata mimi kuhusu kipengere hicho ni kwamba Tanzania italazimika kulianzisha la msituni kupambania uhuru wake kwa mara ya pili.Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Mgogo alitonywaMi ni mtaalam mzuri tu ila sitaki kabisa kujihusisha na hili suala maana tulipoambiwa kuna siku nchi itapigwa mnada tulidhani ni filamu ya pwagu na pwaguzi! Acha nchi iuzwe!
Ndio mzigo ushamwagika sasa hiyo ni MOU Mkataba wenyewe unakujaSitatia siri za baraza la Mawaziri,na Makatibu Wakuu nao wanaapa hawatatoa siri za Serikali.
Hakuna mkataba wa Serikali unaweza ukawekwa wazi kiasi hicho,labda iwe Serikali ya Abunuasi
Hapo sasa!Ni kwamba hili ni agano la damu, halina kutoka wala kukiuka.
Hata kesho jamaa wakiamua kuzuia watanzania kutotumia bandari hakuna wa kuhoji.
A crooked agreement of which you do not need to go for law school, in reality though Tanzania practices and favors herding behavior an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objectives , Ni mkataba wa kuitapeli japokuwa Tanzania tunawatu ambao hujitoa ufahamu kwa mlengo fulani (masilaha binafsi ama kikundi fulani) pia tuna jamii mfu ambayo haiwezi kuhoji kwa sautiKipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
[emoji848]Kipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
Yani hicho kifungu atake ingia king[emoji453] ndio kaliwa maliza, kinga yetu itakua nini! Kodi au!? Au watapewa sera maalum za kikodi tofauti na sera/mifumo ya sasa ya kikodiKipengele hiki naambiwa kiko kwenye makubaliano kati ya Tanzania na Saudia kuhusu uendeshaji wa bandari ya Dar es Salaam.
Naambiwaa ni mkataba si wa miaka 100 bali ule usio na kikomo...WOW!
View attachment 2648997
Nawaomba wataalam wetu wa lugha wanisaidie kutafsiri hii katika lugha yetu ya taifa Kiswahili.
[emoji189]ENGLISH:
4 The State Parties shall not be entitled to denounce, withdraw from,suspend or terminate this Agreement in any circumstances, including in theevent of material breach, fundamental change of circumstances, severance ofdiplomatic or consular relations,'intemational law. Notwithstanding the foregoing, any dispute between StateParties in respect of such circumstances shall be dealt with in accordance withthe requirements of Article 20 of this Agreement.
SWAHILI:
4 Hawana haki ya kutangaza, kujitoa, kusimamisha au kumaliza Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na tukio la uvunjifu mkubwa wa mkataba, mabadiliko muhimu ya hali, ukatwaji wa mahusiano ya kidiplomasia au kidiplomasia, au sheria za kimataifa. Hata hivyo, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusu hali hizo utashughulikiwa kulingana na mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Mkataba huu.
Watakao ingia kwenye mkataba, mkataba hauwatambui!Je hata kifo? Au ni milele na milele! Kwani walioingia huu mkataba hawatakufa?
Mpaka! Ukiukwaji wa haki yoyote ile mkataba hautovunjwa!"makubaliano ya mkataba hayatovunjwa KWA sababu yeyote ile hata ikitokea mabadiliko yeyote yale yawe ya kiuchumi,kijamii,ukiukwaji wa haki yeyote ile mkataba hautovunjwa""
Nilivoelewa,nipo tayari kukosolewa kama nimeenda chaka!!
Wamesha SIGN huu mkataba wa kuzimu!?Msaada wa Google (disclaimer: sihusiki na makosa):
^Nchi Wanachama hazitakuwa na haki ya kukemea, kujiondoa, kusimamisha au kusitisha Mkataba huu katika hali yoyote, ikiwa ni pamoja na ukiukaji wa nyenzo, mabadiliko ya kimsingi ya hali, kukatwa kwa uhusiano wa kidiplomasia au kibalozi, au sababu zingine zozote zinazotambuliwa chini ya sheria ya kimataifa. . Licha ya hayo yaliyotangulia, mzozo wowote kati ya Nchi Wanachama kuhusiana na hali kama hizo utatatuliwa kwa mujibu wa mahitaji ya Kifungu cha 20 cha Makubaliano haya.^
Hatujawahi kufanya hivyo watanzania ndio maana tunachukuliana poaDawa yake ni kuandamana nchi nzima kupinga huu uhuni
Ni mnadaMi ni mtaalam mzuri tu ila sitaki kabisa kujihusisha na hili suala maana tulipoambiwa kuna siku nchi itapigwa mnada tulidhani ni filamu ya pwagu na pwaguzi! Acha nchi iuzwe!