Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maji ya moto kaoga na nani leo hii vimemchachia mnataka tumchangie...shenz type huyo ndo mwalimu Dunia
Naona uko jukwaa linalokufaa, kama gazeti la Kiu vile, huyo kiuno anaendeleaje?
Teh teh labda tumuulize Ndekwakwise...
JF kuna watu wana roho.mbaya astaghafiruAllah ....
Lakin we mdada ulikua ujui madhara ya madawa kweli au ndo kujiona mbish,hitimisho watanzania tumefulia hatuna mchango.
alikuwa anakula unga ili apate macho ya kulegea. Sasa unga umemlegeza macho na ubongo. Wenzake wanafanya kazi kwa uangalifu na kutazama maisha yao mbele. Mara leo yuko china, mara japan mara nigeria alikuwa anatafuta nini. Huyu hastahili mchango amechuma janga mwenyewe ale na wa kwao. Namkubali sana mwanadada lady jaydee yuko fit kiafya, kijamii na mali. Wanadada wengine wanatakiwa waige mfano wake. Usanii sio kulegeza macho na kuacha kitovu nje eti kiuno bila mfupa!!
alikuwa anakula Unga ili apate macho ya kulegea. sasa unga umemlegeza macho na ubongo. wenzake wanafanya kazi kwa uangalifu na kutazama maisha yao mbele. mara leo yuko china, mara japan mara nigeria alikuwa anatafuta nini. huyu hastahili mchango amechuma janga mwenyewe ale na wa kwao. Namkubali sana mwanadada Lady Jaydee yuko fit kiafya, kijamii na mali. Wanadada wengine wanatakiwa waige mfano wake. Usanii sio kulegeza macho na kuacha kitovu nje eti kiuno bila mfupa!!
Mimi personal nipo tayari kumchangia Ray c .Agent wake ni nani?.mtu anaeaminika afungue account tumchangia.She needs help .mimi personal nipo tayari
alipelekewa list akaiweka kapuniangalau Kikwete ameokoa jahazi, pole Ray C, na Mheshimiwa Rais kamata kabisa wauza unga, ushasema unawajua !