Naomba watanzania tumsaidie Ray C tumchangie

Naomba watanzania tumsaidie Ray C tumchangie

Kamsaidie mwenyewe pengine kuna siku na ww alikusaidia mambo fulani. HUYO NI MTOTO KALILIA WEMBE
 
alikuwa anakula Unga ili apate macho ya kulegea. sasa unga umemlegeza macho na ubongo. wenzake wanafanya kazi kwa uangalifu na kutazama maisha yao mbele. mara leo yuko china, mara japan mara nigeria alikuwa anatafuta nini. huyu hastahili mchango amechuma janga mwenyewe ale na wa kwao. Namkubali sana mwanadada Lady Jaydee yuko fit kiafya, kijamii na mali. Wanadada wengine wanatakiwa waige mfano wake. Usanii sio kulegeza macho na kuacha kitovu nje eti kiuno bila mfupa!!
 
maji ya moto kaoga na nani leo hii vimemchachia mnataka tumchangie...shenz type huyo ndo mwalimu Dunia
 
JF kuna watu wana roho.mbaya astaghafiruAllah ....

Si unajua tena sometimes asiyenacho na yeye akipata ka nafasi kakusaidia anavyokua,na yeye anajisikia sikia kwamba msaada wake umehitajika kwi kwiiii kwiiiii.....hapo mtu kashajiona asipotoa hicho kiela chake Ray c hatovuta pumzi...
 
Lakin we mdada ulikua ujui madhara ya madawa kweli au ndo kujiona mbish,hitimisho watanzania tumefulia hatuna mchango.
 
Lakin we mdada ulikua ujui madhara ya madawa kweli au ndo kujiona mbish,hitimisho watanzania tumefulia hatuna mchango.


Halafu alishakataa kuwa hatumii hayo madawa na ni watu wenye chuki nae ndio wanaomtangaza.

Sasa ajitokeze hadharani na awataje hao wanaomchukia na kisha ateme mate tuwachape...mavi yake
 
alikuwa anakula unga ili apate macho ya kulegea. Sasa unga umemlegeza macho na ubongo. Wenzake wanafanya kazi kwa uangalifu na kutazama maisha yao mbele. Mara leo yuko china, mara japan mara nigeria alikuwa anatafuta nini. Huyu hastahili mchango amechuma janga mwenyewe ale na wa kwao. Namkubali sana mwanadada lady jaydee yuko fit kiafya, kijamii na mali. Wanadada wengine wanatakiwa waige mfano wake. Usanii sio kulegeza macho na kuacha kitovu nje eti kiuno bila mfupa!!

excellent!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
alikuwa anakula Unga ili apate macho ya kulegea. sasa unga umemlegeza macho na ubongo. wenzake wanafanya kazi kwa uangalifu na kutazama maisha yao mbele. mara leo yuko china, mara japan mara nigeria alikuwa anatafuta nini. huyu hastahili mchango amechuma janga mwenyewe ale na wa kwao. Namkubali sana mwanadada Lady Jaydee yuko fit kiafya, kijamii na mali. Wanadada wengine wanatakiwa waige mfano wake. Usanii sio kulegeza macho na kuacha kitovu nje eti kiuno bila mfupa!!

Safi sana, sasa amegundua kuwa kumbe kiuno kina mfupa, dushelele tu ndo haina mfupa, hata ulimi una mfupa, sembuse kiuno chake. nilisema hapo mkishamaliza kumchangia huyo ifuate zamu ya mpwa wangu naye alikataa shule akasomea unga sasa ivi ni TEJA
 
Mimi personal nipo tayari kumchangia Ray c .Agent wake ni nani?.mtu anaeaminika afungue account tumchangia.She needs help .mimi personal nipo tayari

mkuu Natalia kama unapesa nenda kwenye vituo vya watoto yatima ukazitoe itakusaidia zaidi kuliko huko unako taka kuzipeleka..
 
Last edited by a moderator:
weka picha zitutie huzuni. Kama vipi mjulisheni mwisho mwampamba asahau yaliopita awa rudie wote raha p na ray c. Nimeamini mwanamme hufulia kwa muda tu. Kuweni makini kina dada. Tatizo lenu mnapenda sana papo kwa papo.
 
angalau Kikwete ameokoa jahazi, pole Ray C, na Mheshimiwa Rais kamata kabisa wauza unga, ushasema unawajua !
 
Back
Top Bottom