Naombeni aina ya adhabu kali za kumpa Mtoto Mtukutu baada ya viboko kumfanya awe sugu kabisa

Naombeni aina ya adhabu kali za kumpa Mtoto Mtukutu baada ya viboko kumfanya awe sugu kabisa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nazisubiri kutoka Kwenu Usiku huu ili ikiwezekana kwa Hasira za Liverpool FC yangu kutopata Matokeo kwa Westham United hadi sasa niamke nazo na nimnyooshe vizuri ili akae sawa.
 
Liverpool amepata matokeo, kwa hisani ya ushindi wa Liverpool msamehe dogo.
Asante kwa Taarifa Mkuu ila hata hivyo sitomsamehe nataka nimnyooshe kidogo kwa Adhabu za Kishalubela ( Kikatili ) kwani naona kama vile kumuonyesha nampenda na Kumdekeza kumemuharibu sasa nataka nimchenjie mazima kwa kuacha Kumcharaza Viboko na niwe nampa tu Adhabu za Kimedani ( Kijeshi ) tupu akae sawa.

Hebu niorodheshee chache tafadhali.
 
Back
Top Bottom