HASHIMU256
New Member
- Oct 26, 2024
- 4
- 5
Sina connection ila Nina ushauri: Ondoka kwenye mipaka ya Dar. Mkoa huo ni mgumu kama huna kazi Wala mtaji wa biashara.Habar Wana jukwaa,
Ni kijana wa miaka 27 nipo Dar essalaam Tegeta A natafuta Kazi ndugu zangu tusaidiane kwa wenye connection jamani,
Elimu yangu ni kidato Cha 6 japo nilifika chuo ila sikuhitimu kutokana na changamoto za kiuchumi, naweza kufanya Kazi za stationary yaani printing scanning etc.
Kazi ngumu pia nafanya sichagui Kazi ilmradi Ina maslahi, na pia nimewahi fanya Kazi ya kutengeneza shisha
Naombeni msaada wenu.
0674115095
Hapo alipo watu wanafanya kazi, afanye hizo hizo🤔Toa kazi ww
Kazi ya shisha haifai kabisa.Habar Wana jukwaa,
Ni kijana wa miaka 27 nipo Dar essalaam Tegeta A natafuta Kazi ndugu zangu tusaidiane kwa wenye connection jamani,
Elimu yangu ni kidato Cha 6 japo nilifika chuo ila sikuhitimu kutokana na changamoto za kiuchumi, naweza kufanya Kazi za stationary yaani printing scanning etc.
Kazi ngumu pia nafanya sichagui Kazi ilmradi Ina maslahi, na pia nimewahi fanya Kazi ya kutengeneza shisha
Naombeni msaada wenu.
0674115095
Aende mkoa gani na mm niende kabisa akija anikuteSina connection ila Nina ushauri: Ondoka kwenye mipaka ya Dar. Mkoa huo ni mgumu kama huna kazi Wala mtaji wa biashara.
Mungu akutangulie
Mbeya. Kwa sababu Kuna vibarua vingiAende mkoa gani na mm niende kabisa akija anikute
Mbeya. Kwa sababu Kuna vibarua vingi
Habar za muda huu
Asalem aleykum,
Ndugu jama na marafiki nipo hapo Leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote ile hata IT or HGV nafanya na Nina uzoefu nayo Niko tayari kufanya. Naomba msada wenu ukinisaidia namini umesaidia familia yangu pia na watu wanao nizungumka.
Naomba msaada wenu, namba zangu za simu 0689793571 / iptieeabdie29@gmail.com Nitashukuru sana Kwa msada wenu.
Uko tegeta sehemu ganiHabar Wana jukwaa,
Ni kijana wa miaka 27 nipo Dar essalaam Tegeta A natafuta Kazi ndugu zangu tusaidiane kwa wenye connection jamani,
Elimu yangu ni kidato Cha 6 japo nilifika chuo ila sikuhitimu kutokana na changamoto za kiuchumi, naweza kufanya Kazi za stationary yaani printing scanning etc.
Kazi ngumu pia nafanya sichagui Kazi ilmradi Ina maslahi, na pia nimewahi fanya Kazi ya kutengeneza shisha
Naombeni msaada wenu.
0674115095