tamadunimusic
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 551
- 559
Issue sio elimu yake, kuwa miss na elimu wala havina mahusiano, tatizo ni udanganyifu wa umri, yule sio wa kuwa na miaka 18 huku akiwa na elimu ya degree, yani mabinti hawapendi ukubwa kama wasivyopenda UGALI, na huku kujifanya watoto kila siku ndio kuna wacost kina wema leo, maana wametoa sana mimba kwa kutaka kula ujana leo hii wagumba na umri umeenda