Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi natumia ya Nazi tu, yapo vizuri hakuna chunusi wala mini, Revlon inanitoa chunusi, Nivea na yenyewe sio, Vaseline nayo hovyo tu na mengineo mengi, nimejirudia kwenye Nazi yangu aaah, safi kabisame ule ugumu wake ndo ulinishinda mafuta kujipaka mpaka utumie nguvu jamani, alafu sioni tofauti yoyote kwenye ngozi nikajirudia zangu kwenye Revlon
Tutumie kapicha ka hiyo cream ili tusome ingredients zake!! Samahani lakini...huyo nnaemuagiza mimi anapatikana kwa namba hii 0782 - 123 345
Shoga angu ila uanamke kazi, ukisikia tu kuna kakipodozi fulani, roho ishashtuka hahaHeaven Sent kuna kipako huku shoo njoo
Shoga angu ila uanamke kazi, ukisikia tu kuna kakipodozi fulani, roho ishashtuka haha
mi natumia igram ya kiume body cream,natumia bio oil lotion,mafuta ya nazi,rescue oil,vaseline,Miss Natafuta njoo kwenye urembo nakuonaga nawe ni ndo kina sie wa mafuta mawili mawili lol
yaani mimi bora nilale njaa ila niwe na vipodozi vyanguShoga angu ila uanamke kazi, ukisikia tu kuna kakipodozi fulani, roho ishashtuka haha
hahahha mie nna mafuta ya nywele aina 4 hapa hahaha! tuna kazi! tena kazi kweli kweli na vile ngozi hazina shukran bas uwiii! tuitafte tu...
Tutumie kapicha ka hiyo cream ili tusome ingredients zake!! Samahani lakini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila sijui sana kuhusu utofauti wa ngozi, ila tu naweza jitolea mfano mimi, kuna kipindi uso wangu uliharibika sana nikahangaika nikakata tamaa, kuna mwenzangu yeye pia alikuwa kama mimi ghafla nikaona anabadilika nilipomuuliza akaniambia kuhusu hiyo cream mwanzo niliogopa mana naijua ngozi yangu ya uso ilivyo sensitive ila akanishawishi sana niijaribu nikasema anyway kwa kuwa nishaharibika ngoja tu nijaribu, I swear to God sasahivi wanawake wengi wakiniona either wananiangalia sana usoni nazani wanajiuliza natumia nini kwa jinsi nilivyo soft na wengine wananiuliza natumia nini kabisa dada kwani unapaka nini.Tutumie kapicha ka hiyo cream ili tusome ingredients zake!! Samahani lakini...
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani mimi bora nilale njaa ila niwe na vipodozi vyangu
jmosi najipiga mask za hatari asubuhi siku hizi natumia ile black ya tango juzi kuna mgeni alikuja kidogo azimie mchana najisugua na ile ya sandalwool ipo kama kinyesi yaani ahahaaa ukiniona utazimia najisugua na pumba na machicha ya nazi. manjano sipendi inachafua sana bafu unapata adhabu ya kusugua bafu masaa nimeachana nayo kitambohahahahahha kwakweli na mie urembo tu naupenda jaman!ukinikuta wknd sasa uwiii scrub full najisoak kwenye ndoo miguu yote nimezamisha hahaa natupia kila kitu! bas huby ananisogezeaga na chumv na mwiko! najiscurub na sukar na asali na machicha na weka na baking powedr hehehehe !analeta na mwiko anaweka hapo chini!huwa anchekaaaaaaaaaa
ila mumeo chizi ahahaa sasa mwiko wa nini? mwambie akuletee na hotpot ujipakulie humohahahahahha kwakweli na mie urembo tu naupenda jaman!ukinikuta wknd sasa uwiii scrub full najisoak kwenye ndoo miguu yote nimezamisha hahaa natupia kila kitu! bas huby ananisogezeaga na chumv na mwiko! najiscurub na sukar na asali na machicha na weka na baking powedr hehehehe !analeta na mwiko anaweka hapo chini!huwa anchekaaaaaaaaaa
ila mumeo chizi ahahaa sasa mwiko wa nini? mwambie akuletee na hotpot ujipakulie humo
jmosi najipiga mask za hatari asubuhi siku hizi natumia ile black ya tango juzi kuna mgeni alikuja kidogo azimie mchana najisugua na ile ya sandalwool ipo kama kinyesi yaani ahahaaa ukiniona utazimia najisugua na pumba na machicha ya nazi. manjano sipendi inachafua sana bafu unapata adhabu ya kusugua bafu masaa nimeachana nayo kitambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najuta Hata kuyafahamu. Niliishia kuyagawa,now days feki kibwena madukanimie yalinitoa vyunusi kbs! ngoz yangu ya mafuta nilijuta
Kwa ngozi gani??Queen elizabeth kama mtu anataka kutumia bora apake tu mwilini sio kwa usoni, kuna cream nzuri ya usoni inaitwa Botuoer ni nzuri mno wapendwa huwezi kujuta kuitumia
unajua kuwa na ngozi nzuri huitaji kujichubua mi hayo mavipodozi ya congo au cote divour au china sinunui mi natumia vitu vya south africa au nigeria tu.unajua wasouth hawajichubui wanafanya tu skin toning sio bleachhahaha hyp pumba nimewah shuhudia biarus kasuguliwa na pumba wee!alikua nyiritiiiiiii1 mie mwenyew wknd huwa nashnda design hizo hahahaa eti kidg azimie hahaha!....
unajua kuwa na ngozi nzuri huitaji kujichubua mi hayo mavipodozi ya congo au cote divour au china sinunui mi natumia vitu vya south africa au nigeria tu.unajua wasouth hawajichubui wanafanya tu skin toning sio bleach
Sasa hivi kuna watu washachakachua, queen elizabeth ile ya mwanzoni ndio ilikua nzuri..yaani ilikua ukipaka unapendeza balaa ila hii ya sasa hata utumie vipi huoni mabadiliko yoyote kwenye ngozimie yalinitoa vyunusi kbs! ngoz yangu ya mafuta nilijuta