Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
wewe ukiona kipodozi kinatangazwa sana insta achana nachoSasa hivi kuna watu washachakachua, queen elizabeth ile ya mwanzoni ndio ilikua nzuri..yaani ilikua ukipaka unapendeza balaa ila hii ya sasa hata utumie vipi huoni mabadiliko yoyote kwenye ngozi
Kwa ngozi gani??
achana na vipodozi vya insta shosti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najuta Hata kuyafahamu. Niliishia kuyagawa,now days feki kibwena madukani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najuta Hata kuyafahamu. Niliishia kuyagawa,now days feki kibwena madukani
Na kweli shoga, hilo nishaliwaza siku nyingiiiiwewe ukiona kipodozi kinatangazwa sana insta achana nacho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najuta Hata kuyafahamu. Niliishia kuyagawa,now days feki kibwena madukani
Sasa hivi kuna watu washachakachua, queen elizabeth ile ya mwanzoni ndio ilikua nzuri..yaani ilikua ukipaka unapendeza balaa ila hii ya sasa hata utumie vipi huoni mabadiliko yoyote kwenye ngozi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najuta Hata kuyafahamu. Niliishia kuyagawa,now days feki kibwena madukani
Sasa hivi kuna watu washachakachua, queen elizabeth ile ya mwanzoni ndio ilikua nzuri..yaani ilikua ukipaka unapendeza balaa ila hii ya sasa hata utumie vipi huoni mabadiliko yoyote kwenye ngozi
yeah wasauzi wana vipako vzr sana sana!
ila tuseme ukweli ukitaka kuwa na ngozi nzuri lazima ule vizuri,unywe maji ,uoshe ngozi vizuri halafu usiwe na kipodozi kimoja.unaweza ukawa na lotion nzuri ila sabuni unayotumia ni mbaya . ukitaka uwe msupuu lazima uwe na balance flani hivi sasa mtu unanunua lotion ya elf 50 huna sabuni ,huna scrub ,huna toner ?utabaki hivohivo kulaumuIla sijui sana kuhusu utofauti wa ngozi, ila tu naweza jitolea mfano mimi, kuna kipindi uso wangu uliharibika sana nikahangaika nikakata tamaa, kuna mwenzangu yeye pia alikuwa kama mimi ghafla nikaona anabadilika nilipomuuliza akaniambia kuhusu hiyo cream mwanzo niliogopa mana naijua ngozi yangu ya uso ilivyo sensitive ila akanishawishi sana niijaribu nikasema anyway kwa kuwa nishaharibika ngoja tu nijaribu, I swear to God sasahivi wanawake wengi wakiniona either wananiangalia sana usoni nazani wanajiuliza natumia nini kwa jinsi nilivyo soft na wengine wananiuliza natumia nini kabisa dada kwani unapaka nini.
mimi hapa nakunywa tango ,asali,mdalasini karoti halafu siku nikioga huwa najipaka mafuta ya kutosha ya nazi,body cream nakolea haswa.kuna watu wanapaka mafuta kwa mbaali .ngozi inakuwa haina afyaMiss Natafuta na mie nilikua nakuja sema maji muhimu na balanced diet! mie natumia sana asali na maji aiseeehata hapa nakunywa maji mix na asali! msos muhimu sana na mboga za majan
mimi hapa nakunywa tango ,asali,mdalasini karoti halafu siku nikioga huwa najipaka mafuta ya kutosha ya nazi,body cream nakolea haswa.kuna watu wanapaka mafuta kwa mbaali .ngozi inakuwa haina afya
tumia radiant ipo fasta kumalizayap yap hyo inapunguza mwili sana tu! nimeitumiaga kipind! yeah nazi kwangu sikosi usk najikandika nazi na mix na vaseline! safi mnoo! .. sema nimekuwa na mba za nywele sijui kumix mix mafuta? ah... nna nywele ndef ila mbaa
tumia radiant ipo fasta kumaliza
looh virgin hiyo harufu mumeo atakupa talaka ahahahaninayo nahis imekuwa haina ngv! nina virgn nayo sijaisoma bado
looh virgin hiyo harufu mumeo atakupa talaka ahahaha
ukijipaka mafuta ya Nazi na aseline mwilin inafanyaje?yap yap hyo inapunguza mwili sana tu! nimeitumiaga kipind! yeah nazi kwangu sikosi usk najikandika nazi na mix na vaseline! safi mnoo! .. sema nimekuwa na mba za nywele sijui kumix mix mafuta? ah... nna nywele ndef ila View attachment 568722 mbaa
situmii poda yoyote . kama mwaka sasa natumia tu liquid foundation kwa mbaali .naona kama powder zina chunusi sannahahaha inachoma kwa pua! wala hanaga shida! naipaka nikiwa saloon mara nying lol! hv umetumiaga products za 'elf'? nahitaj nizijaribu haswa foundation na powder !... sleek huku nilipo fekelo! au yeyot aliweah tumia hiz poda za 'elf'
daah unajikamua haswa yaaaniyap yap hyo inapunguza mwili sana tu! nimeitumiaga kipind! yeah nazi kwangu sikosi usk najikandika nazi na mix na vaseline! safi mnoo! .. sema nimekuwa na mba za nywele sijui kumix mix mafuta? ah... nna nywele ndef ila View attachment 568722 mbaa
situmii poda yoyote . kama mwaka sasa natumia tu liquid foundation kwa mbaali .naona kama powder zina chunusi sanna
mac dearaina gan hyo liquid foundation? yes hata foundation ukipaka unapunguza mng'ao!