Naombeni info unywaji mafuta na menginayo ya Crown Athlete

Fuel Consumption ikoje kwa hii ya 3000cc?
 
Hv Bongo Kuna lami iliyonyooka? Achen ujinga
Mlimani mpaka Mwananchi pamenyooka mno hasa kwakuwa kuna kituta mshenzi kimoja ambacho unaweza kukiparaza hata ukiwa 100KPH bila madhara.

Ukivuka relini pale mpaka Buguruni ni kibati tu hasa ukitembea mida ya saa 5 usiku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…