Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah watu Dualis wanaionaga sijui ni kitu gani cha maana yaniKuna colleague anayo ofsn. Anavimba Kama gari ya maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah watu Dualis wanaionaga sijui ni kitu gani cha maana yaniKuna colleague anayo ofsn. Anavimba Kama gari ya maana
5 usiku taa zinakuwa zimelala kweupeZile taa external vp?
Hahahahaha. Na wanajua wanaingia external. Wanapunguza mwendo.Wale walevi wanaotokea baa za kule maji chumv umewafikiria?
Zile una achana nazo wala si za kuzifikiria.Zile taa external vp?
Safi. Ukute una Ngoma tayari unatafuta sababuZile una achana nazo wala si za kuzifikiria.
Dualis nyingi watu wamehongwaHahahahah watu Dualis wanaionaga sijui ni kitu gani cha maana yani
Wanaotoka jeshini na ubungo maziwa wakifika pale junction wanakuwa wapole mana hata ka umelewa lazma akili ibaki kuwa unaingia main road na night watu wanaliunga tu so ukingia kichwa kichwa unaeza kutana na Semi kabisaHahahahaha. Na wanajua wanaingia external. Wanapunguza mwendo.
Uko sahihi kabisaaWanaotoka jeshini na ubungo maziwa wakifika pale junction wanakuwa wapole mana hata ka umelewa lazma akili ibaki kuwa unaingia main road na night watu wanaliunga tu so ukingia kichwa kichwa unaeza kutana na Semi kabisa
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Napenda kupiga Gitaa... Ngoma sijui kwa kweli.Safi. Ukute una Ngoma tayari unatafuta sababu
Suspension system. Crown ina double wishbone mbele na multi link suspension nyuma. Comfortability yake inatokea hapo.Comfortability kwenye Sedan mnaipata kwa formula gani?