Kwani Lumumba wanaajiri viazi?
Ushauri= baki hapo Sacco's mtaa wa ufipa
Sifa zangu:
Ni kijana mwenye uwezo wa kukesha nasifu Na kuabudu bila kuchoka.
Naweza kubadilisha nyeusi Kuwa nyeupe.
Ni muongo Sana Na naweza kudanganya bila kupepesa macho
Nina uwezo wa kutunga propaganda Za akili Na maganda yake.
Naambatanisha kielelezo kimoja.
Wako mtiifu.
View attachment 2001173
Huenda hata hii thread imejaa uongo mtupuSifa zangu:
Ni kijana mwenye uwezo wa kukesha nasifu Na kuabudu bila kuchoka.
Naweza kubadilisha nyeusi Kuwa nyeupe.
Ni muongo Sana Na naweza kudanganya bila kupepesa macho
Nina uwezo wa kutunga propaganda Za akili Na maganda yake.
Naambatanisha kielelezo kimoja.
Wako mtiifu.
View attachment 2001173
Hili jamaa ni shoga?
Yap, bila kuwa mbatata lumumba huajiriwiKwani Lumumba wanaajiri viazi?
Ushauri= baki hapo Sacco's mtaa wa ufipa
Ina maana toka mwenyekiti awekwe jela Sacco's imeyumba mpaka uombe KAZI Lumumba?Kuna viazi wengi Tu wa lumumba nawazidi...alafu wanakula buku7 Za bure
Hapo kwenye uwezo wa kubadili nyeusi kua nyeupe ,Sifa zangu:
Ni kijana mwenye uwezo wa kukesha nasifu Na kuabudu bila kuchoka.
Naweza kubadilisha nyeusi Kuwa nyeupe.
Ni muongo Sana Na naweza kudanganya bila kupepesa macho
Nina uwezo wa kutunga propaganda Za akili Na maganda yake.
Naambatanisha kielelezo kimoja.
Wako mtiifu.
View attachment 2001173
Siyo viaz tu...ni makande yalochacha yalojaa gesi kichwan ..ndiyo yanaajiriwa LUMUMBA kuja kutujambia hukuKwani Lumumba wanaajiri viazi?
Ushauri= baki hapo Sacco's mtaa wa ufipa
Vipi jamaa anatishia kupoka ugali wenu?Ina maana toka mwenyekiti awekwe jela Sacco's imeyumba mpaka uombe KAZI Lumumba?
Ugali upo mwingi wa kusazaVipi jamaa anatishia kupoka ugali wenu?
Sasa mbona unalilia hapa?Ugali upo mwingi wa kusaza
Nimesema Tu Lumumba hawaajiri viazi [emoji23][emoji1787]Sasa mbona unalilia hapa?
🤣🤣🤣😂🤣Nimesema Tu Lumumba hawaajiri viazi [emoji23][emoji1787]