Naombeni kibarua cha kusogeza siku za maisha yangu yaliyobaki hapa duniani

Naombeni kibarua cha kusogeza siku za maisha yangu yaliyobaki hapa duniani

Joined
Nov 10, 2024
Posts
8
Reaction score
31
Hello JF family.

Nakuja mbele zenu ndugu zangu mnisaidie kibarua chochote kile ili nipate kusogeza siku zangu za kuishi hapa duniani bila kuwa tegemezi wala kero kwa wengine.

Sihitaji kazi ambayo itakuwa na mambo mengi, nahitaji kibarua cha kuniwezesha kumudu tu gharama za Chakula na sehemu ya kuishi.

Sihitaji mambo mengi kulingana na afya yangu maana naona sitafika mbali kulingana na hali niliyonayo.

Sina taaluma yoyote kwahiyo kibarua chochote ambacho unaona mtu ambaye hajasoma kitamfaa naomba msaada.

Naishi Dar es Salaam ni Mwanaume 27 years
Simu 0679998646
 
Hello JF family.

Nakuja mbele zenu ndugu zangu mnisaidie kibarua chochote kile ili nipate kusogeza siku zangu za kuishi hapa duniani bila kuwa tegemezi wala kero kwa wengine.

Sihitaji kazi ambayo itakuwa na mambo mengi, nahitaji kibarua cha kuniwezesha kumudu tu gharama za Chakula na sehemu ya kuishi.

Sihitaji mambo mengi kulingana na afya yangu maana naona sitafika mbali kulingana na hali niliyonayo.

Sina taaluma yoyote kwahiyo kibarua chochote ambacho unaona mtu ambaye hajasoma kitamfaa naomba msaada.

Naishi Dar es Salaam ni Mwanaume 27 years
Simu 0679998646
Afya yako ina shida gani
 
Hello JF family.

Nakuja mbele zenu ndugu zangu mnisaidie kibarua chochote kile ili nipate kusogeza siku zangu za kuishi hapa duniani bila kuwa tegemezi wala kero kwa wengine.

Sihitaji kazi ambayo itakuwa na mambo mengi, nahitaji kibarua cha kuniwezesha kumudu tu gharama za Chakula na sehemu ya kuishi.

Sihitaji mambo mengi kulingana na afya yangu maana naona sitafika mbali kulingana na hali niliyonayo.

Sina taaluma yoyote kwahiyo kibarua chochote ambacho unaona mtu ambaye hajasoma kitamfaa naomba msaada.

Naishi Dar es Salaam ni Mwanaume 27 years
Simu 0679998646
Unachohitaji kwa sasa ndio ndoto za Graduate wengi...hela ya kula na kulipa kodi...ndio maana wafanyabiashara watazidi kuwadharau wasomi...sasa kama huna Elimu si ukajifunze hata kushona viatu mtaji ni kiti kibovu, meza mbovu na sinadano na uzi vya miatano utafute hiyo 10,000 ya kula na kuishi
 
Kama nimekuelewa hivi

Una 27 years

Hauna Taaluma maalumu Ila unaweza kufanya Kazi mbaimbali za kuelekezwa.

Aina ya Kazi ni zile ambazo sio za kubeba vitu vizito Sana .

Kwakuwa hapo awali umewahi kupata majeraha katika uti wa Mgongo.

Mimi nimekuelewa Kwa style hii, naomba MTU atakayekuwa na Kazi akupatie ili uweze kujikimu na kuendesha maisha yako.
 
Pole sana kijana kuna kampuni nyingi sana za ulinzi hapa dsm nenda kampuni moja baada ya nyinginr naimani utapata kule hakuna rushwa ni wewe tu na nafasi zipo nyingi tu.wana dar hawazishobokei hizo kazi ila kuna vijana wanatoka mikoani wanaingia huko na wanatoboa maisha.nenda kijana kajishikize huko ukiwa unajitafakali
 
Unachohitaji kwa sasa ndio ndoto za Graduate wengi...hela ya kula na kulipa kodi...ndio maana wafanyabiashara watazidi kuwadharau wasomi...sasa kama huna Elimu si ukajifunze hata kushona viatu mtaji ni kiti kibovu, meza mbovu na sinadano na uzi vya miatano utafute hiyo 10,000 ya kula na kuishi
Wasomi waliwafanyia kitu gani ninyi mnaowaandama..

Uzi hauwahusu unawachomekea humohumo.
 
Kama nimekuelewa hivi

Una 27 years

Hauna Taaluma maalumu Ila unaweza kufanya Kazi mbaimbali za kuelekezwa.

Aina ya Kazi ni zile ambazo sio za kubeba vitu vizito Sana .

Kwakuwa hapo awali umewahi kupata majeraha katika uti wa Mgongo.

Mimi nimekuelewa Kwa style hii, naomba MTU atakayekuwa na Kazi akupatie ili uweze kujikimu na kuendesha maisha yako.
Hakika mkuu umenielewa sana na asante kwa kufafanua vizuri zaidi.
 
Back
Top Bottom