Naombeni kibarua cha kusogeza siku za maisha yangu yaliyobaki hapa duniani

Nimechelewa kuona leo ofisini walihitaji wafanyakazi kama zitapatikana tena ntakushtua saved number
 
Humu watakukejeli tu na kujifanya wanakuhoji vimaswali uchwara.....

Cha ajabu wao wenyewe CHOKA MBAYAAA yaani MBWA KACHOKAA wanapumulia mashine.... ROHO MBAYA kama FISI MAJI.

Toeni pesa hizo acheni kujifanya mnahoji saaanaaaa MABICHWA KOMWE wakubwa nyie... Alaaahh!

Udadiisi mwiiingii..... ohhh umevunjika lini, mara uti wa mgongo ukoje.... kumbe HELA HAWANAA ...MBWAA KACHOKAAA...

Nina hasira balaa mpaka komwe linatetemeka.

Cc: Mbaga Jr Lloyd Munroe mshamba_hachekwi min -me Kalpana Tlaatlaah Lucas Mwashambwa ChoiceVariable chiembe Poor Brain Extrovert Kalpana Kapeace binti kiziwi SweetyCandy
 
Naona ukaamua ututag Mbwa wenyewe Sasa sio ?
 
Alafu tafadhali Sana Mimi siwezi kuwa tag mmoja na kina Mwashambwa yaani zero brain empty set vacant orbital aah cmon.
 
Mkuu, kazi nyingi zisizohitaji elimu ni za kutumia nguvu. Kwa matatizo yako ni ngumu kufanya kazi hizi.

Naweza kukushauri jichange wewe na ndugu zako ipatikane angalau laki 5.

Nenda kachukue short course ya computer ya mwezi mmoja, ujue basics za computer tu. Mara nyingi course ya mwezi au miezi miwili haizidi 150k

Tafuta computer used ya 200k na tafuta sehem iliyochangamka kidogo hapo mtaani kwako, omba sehem kidogo ya baraza ya kuweka meza na computer yako.

Weka bundle la kutosha, pakua nyimbo za bongo flava na gospel za kutosha. Pita kwa wale maDJ wa movies, kusanya movies za kutosha. Baada ya hapo, hapo kibarazani weka bango la kuuza miziki na movies, huwezi kosa hela ya kula na kuishi kwa siku.
 
Yani kurusha nyimbo mpaka aende kusoma kozi ya computer? kua serious mkuu. Mwambie aende kwa wanaofanya kazi hizo aombe wamfundishe.
 
Pole sana ndugu yangu MUNGU MWENYEZI akusaidie sana ufanikiwe
 
Pole sana mkuu
Nashauri ushauri wa mdau hapo juu fungua Movie studio.
 
Babu mbona unafoka sana???kwani umekarisika??😩
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…