nina miaka miwili kazini sijawahi kuutumia mshahara wangu kwa matumizi yangu binafsi zaidi ya mwanaume kuupigia bajet na sometimes kuwatumia ndugu zake wanasheria wa jf naomben mnisaidie mwanaume ana haki yoyote juu ya mshahara wangu? Na wajibu wa kutunza familia ni mke au mme?