Nipe vitu conk mama... mpaka nimeacha kusoma nyuzi mda wote nko PMacha uoga, wee mwanaume ujue, khaaah
Achana naye huyo niikuwa namzingua ili asiote maluweluwe, huyo wifi yangu bana ๐น๐น๐นHapo ndo mnanichanganya. Wifi inakujaje sasa!! ๐ค๐ค
Anhaa , Ila jf kuna pic sijui nifukuzie ipiAchana naye huyo niikuwa namzingua ili asiote maluweluwe, huyo wifi yangu bana ๐น๐น๐น
Tupiamo kapicha kako ka full tuone kama una chura. Tusije kukusumbua inbox kumbe flat screen kama Zuchu.Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Nshapita hapoMi pasua kichwa huniwezi, labda nikupe pisi kali ya muda wote jf cocastic
Ndio raha ya ban za jf, unakuja kivingine๐2 much๐คฉ=nyamwi.
Kumbe mlishaanzana kutupiana mistari ๐๐๐Nipe vitu conk mama... mpaka nimeacha kusoma nyuzi mda wote nko PM
Mimi na cocastic kwasasa ni romeo and Julieth
๐น๐น๐น ushapita na uduguu wangu??Nshapita hapo
๐น๐น๐น Hayo mambo ya pm niliwaachia underground mkuu.!!Tutawezana tu, njoo kwanza PM mengine watoto hawatakiwi kuyasikia
Kudadeq , kumbe mpemba , umenikosa mkuu ... Sipendagi utani kwenye swala la jicho langu๐น๐น๐น Hayo mambo ya pm niliwaachia underground mkuu.!!
Wewe ongea hapa hapa usikike
Jana muulize alilala wapi๐น๐น๐น ushapita na uduguu wangu??
๐น๐น๐น Wee unajua hauko sawa.!!Kudadeq , kumbe mpemba , umenikosa mkuu ... Sipendagi utani kwenye swala la jicho langu
Wewe ni ndume iliyokomaa haswa , uchebe hadi shingoni ๐๐น๐น๐น Wee unajua hauko sawa.!!
Sasa jicho lako mimi la kazi gani? Mbona unaogopa ogopa wewe