Naombeni kujua jamani

Karibu mgeni.
Zingatia yafuatayo.
Ukitingozwa jf usikubali, Kuna watu Kama raraa reree ukiwakubalia watamwambia kila mtu.
Matusi hayaruhusiwi humu.
Kuwasema viongozi vibaya marufuku hata ukimuona katibu kata amelewa anavua nguo hadharani, mezea.
Lugha inayotumika Ni kiswahili.
La muhimu zaidi, Ni marufuku kuwatania wapare hata ukimuona ameagiza chai nusu na andazi moja.
 
Kumb ndo tabia yao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeyeee,
Huyo nilishamjua kitambo mimi code ndogo km hizi zinanishindaje? Mimi mama wa codes kuna mtu alikuja pm akajichekesha mi namchora tyuu.!!
Nilivyomwambia fulani usinisumbue akaona aibu mpk leo hajiamini ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ