Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 1,949
- 4,759
Nimekukamata uongo 😹😹😹Jamani ni typing error. Nilitaka niandke siku 6 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekukamata uongo 😹😹😹Jamani ni typing error. Nilitaka niandke siku 6 🤣🤣
Kaka kala hasara kuoa shangingi yani unanitukana had wifiyo? 😹😹😹Njoo chumbani uuchezee mkong'oteo unafanya nini huko Wewe jifanye tu mke wa kaka ukiingia huku shughuli unayokutana nayo unakuja kusimulia tu ooh nimekupakia vumbi la Kongo
Kweli tena , Sipendi kudanganya 😂😂Nimekukamata uongo 😹😹😹
Haya usiku mwema kesho rafiki 😀Kweli tena , Sipendi kudanganya 😂😂
Sawa mkuu 😂😂Haya usiku mwema kesho rafiki 😀
Njoo huku kitandan chupi yako acha huko hukoKaka kala hasara kuoa shangingi yani unanitukana had wifiyo? 😹😹😹
Wifi tulale usiku saa hizi 😘Njoo huku kitandan chupi yako acha huko huko
Mahaba niunguze makiss on public like this kuna mtu kesho anaenda kununua kamba haya basi njoo uukalie mkong'oteoWifi tulale usiku saa hizi 😘
Hapa nitapigwa na snaipa kama trump. Ngja ntafte wangu na mimiMahaba niunguze makiss on public like this kuna mtu kesho anaenda kununua kamba haya basi njoo uukalie mkong'oteo
Usiseme sikukuambiaHapa nitapigwa na snaipa kama trump. Ngja ntafte wangu na mimi
Hapo ndo mnanichanganya. Wifi inakujaje sasa!! 🤔🤔Usiseme sikukuambia
Nimekwambia huyo compressor mbovu fridge haligandishi kwa hio tuachie Sisi ngoja kwanza nimbabue kimoja cha kuondoa uchovu tulale kesho atakusimuliaHapo ndo mnanichanganya. Wifi inakujaje sasa!! 🤔🤔
Cha muhimu gawa kama njugu hutapata "ban"Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
eti anaogopa kupuyanga jomoni🤣 aseeee
Umeamkaje kpnzeti anaogopa kupuyanga jomoni🤣 aseeee
Safi vipi weye,, mheshimiwa 😊Umeamkaje kpnz
Niko poa kabisa yan,,hiyo mheshimiwa inatoka wapi,kwani umesikia mie mbunge kpnzSafi vipi weye,, mheshimiwa 😊
hahahaha,,ivi hio ni ya wabunge pekee eeeh?,,mimi sio lazma nikuite kipenz yani nitaita jina lolote hata andaziNiko poa kabisa yan,,hiyo mheshimiwa inatoka wapi,kwani umesikia mie mbunge kpnz
Umenikumbusha kitu!😂Usifungue nyuzi ovyo mapema hii, tulia uzoee jukwaa.
Ukikurupuka kuandika nyuzi saa hizi utakuja kujutia kwasababu HAZIFUTIKI.
Karibu sana mimi naitwa mshamba wewe unaitwa nani?
Wabunge ndio walitaka kuitwa waheshimiwa kwa taarifa yako,,,kama utaniita jina lolote basi Mungu anakuonahahahaha,,ivi hio ni ya wabunge pekee eeeh?,,mimi sio lazma nikuite kipenz yani nitaita jina lolote hata andazi