Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
haya,,,nikuitaje mrWabunge ndio walitaka kuitwa waheshimiwa kwa taarifa yako,,,kama utaniita jina lolote basi Mungu anakuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya,,,nikuitaje mrWabunge ndio walitaka kuitwa waheshimiwa kwa taarifa yako,,,kama utaniita jina lolote basi Mungu anakuona
Hilo ni chaguo lako,,,ila lisiwe jina baya coz mimi ni mtu msweet sana 🤣haya,,,nikuitaje mr
Mambo ya Twanga Pepeta na Ali Choki hayo😀 😀 nimekumbuka mbali kweli
Hahahaha 😂😂😂😂 umefkisha ujumbe kua nkuite switii sio🤣🤣🤣🤣 hahahaha jamaniHilo ni chaguo lako,,,ila lisiwe jina baya coz mimi ni mtu msweet sana 🤣
Umetisha sanaa kpnz,or just call me beyHahahaha 😂😂😂😂 umefkisha ujumbe kua nkuite switii sio🤣🤣🤣🤣 hahahaha jamani
Okay sir😂Umetisha sanaa kpnz,or just call me bey
Acha umbea sema hicho kitu.Umenikumbusha kitu!😂
Kuna uzi wangu najifikiria namuingiaje cookie 😂🥲Acha umbea sema hicho kitu.
Hivi yule avatar yake ameweka maparachichi ndio maua yule?. Yule anapenda sana kupigwa mpini anaitwa nani yule?Either huyu ni kidume, au ni maua kaja kivingine. Hakuna nje zaidi ya hapo
HahhaaCha muhimu gawa kama njugu hutapata "ban"
Kuna mda nlikua siwezi kufany chochoteHalafu siku hizi JF ukijiunga haupitii ile stage ya "Read only"??
Zingatia amri kumi za Mungu na mengine utaletewa ulipo.Hi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
HahhaGifted girl,
Hebu weka bayana. Umezawadiwa nini? Tako la haja? Mtindi kilo tatu?
Hii itasaidia Members wenye uhitaji na ulichobarikiwa nacho kuuliza bei vema.
Asante kwa ushaurZingatia amri kumi za Mungu na mengine utaletewa ulipo.
Usiamini sana ninachokiandika.Kuna siku nikiamka nimevuta bangi iliyo bora ndiyo utaelewa.Asante kwa ushaur
Unataka kujuwa niniHi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Sahvi nimesh anza kuizoeaUnataka kujuwa nini