Gifted Girl
Senior Member
- Jul 16, 2024
- 108
- 241
- Thread starter
- #141
Uwiiii acha usivute bangUsiamini sana ninachokiandika.Kuna siku nikiamka nimevuta bangi iliyo bora ndiyo utaelewa.
NB;Na tazama,usiogope.Asema BWANA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiii acha usivute bangUsiamini sana ninachokiandika.Kuna siku nikiamka nimevuta bangi iliyo bora ndiyo utaelewa.
NB;Na tazama,usiogope.Asema BWANA.
Kuizoea nini hiyo, mbona unanitamanisha....mtego gani huu tena🫣Sahvi nimesh anza kuizoea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeyeee,Sio nyamwi huyu anatupima? [emoji81][emoji81][emoji81]
Si takwa langu.Ni sakramenti ile.Unaivuta kwa unyenyekevu huku unakuwa katika hisia kali sana za mseto.Uwiiii acha usivute bang
Mi nasemea jamii forums w umeelew nin?Kuizoea nini hiyo, mbona unanitamanisha....mtego gani huu tena🫣
Mungu anakuonaSi takwa langu.Ni sakramenti ile.Unaivuta kwa unyenyekevu huku unakuwa katika hisia kali sana za mseto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe kumbe hujaijua jf vizuri na member wake [emoji81][emoji81][emoji81]
JF ni kichaka chenye wanyama wakali kaa kwa password
Na huwa tunamtaka..."Jah Rastafarai yeeeeaaah uhuuuu.And puff puff pass!😎Mungu anakuona
Hahha nmechekaNa huwa tunamtaka..."Jah Rastafarai yeeeeaaah uhuuuu.And puff puff pass!😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kufanya watu wajinga! Ww ni mwanaume mara utumie "jomoni" mara "jamani" inaonekana unafake mambo kabisa[emoji107][emoji107] unamfahamu xavierjerry ?? Huyu amejiunga jana na tayari amekufollow?[emoji23][emoji23] au umeamua kufollow ID yako nyingine?
Eti jomon asee hivi videmu vya 2005 vinatabu sanaHi guyz, Wakubwa shikamooni.
Mimi ni mgeni, naomben kujua vitu vya kuzingatia nsije nkajikuta nimepuyanga jomon .
Picha yako basi mtoto mzuriMungu anakuona
Ulikutwa na kipii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaliyonikuta dah! Sijai tena hapa. Acha vingine vipite
Mkojo wa Punda au sio?Yaliyonikuta dah! Sijai tena hapa. Acha vingine vipite
Behind the scene Jamaa ana mapumbu yupo kwenye keyboard Ila avatar ya kike Jina la kike sasa ingia kichwa kichwa ukatwe kichwaSlow down
mbele mteremko mkaliiii
Eti cocastic, naijua hiyo 😃Ulikutwa na kipii?
Acha tu kaka dah.. Jf bhana 🤔 Usivamie ID Kibwege bwegeMkojo wa Punda au sio?