ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Ndivyo walivyoamua fomu itachapishwa moja tu !Inamaana huko CCM hakuna wanaume wenye uwezo wa kugombea mpaka wamuachie huyu mama atuongoze tena kwa miaka 5,naamini Kama uchaguzi utakuwa wa Uhuru na haki hatoboi
Naomba huku kwetu kanda ya ziwa wasiangaike hata kupiga campani maana hakuna mwanaume atakayekubali kumchagua mwanamkeNdivyo walivyoamua fomu itachapishwa moja tu !
Ngoja Tusubiri tuone !Naomba huku kwetu kanda ya ziwa wasiangaike hata kupiga campani maana hakuna mwanaume atakayekubali kumchagua mwanamke
Katiba inaongelea raisi ndo ana mihula miwili na sio makamuIko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?
Labda Vicent mabeyo atufafanulie kwa mara nyingine tenaKatiba inaongelea raisi ndo ana mihula miwili na sio makamu
umeandika hili kwa uhakika au kuna kichochezi umetumia?Kipindi kilichopo kinahesabika ni kama kipindi cha dharura tu kutokana na kilichotokea!
Kwahiyo 2025 ndicho kitakuwa kipindi chake cha kwanza kugombea !!
SIna hakika lakini nadhani hata katiba ya CCM haimruhusu kuwa mgombea pekee isipokuwa kutokana na kile wao wanachokiita "utamaduni wao" wa kumwachia rais aliyepo madarakani atawale kwa vipindi viwili ndicho kinachompa jeuri hiyo.Katiba ya Chama chake ndio inayomruhusu na ndiyo anayoifuata na Chama chake kimeona anatosha kupeperusha bendera ya Chama kwahiyo anakuwa hazuiwi na Katiba ya Nchi !!
It’s very simple mathematics 🧮. 🙌
Wewe lete kifungu kinachosema asigombee 2025Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?
Uko sahihi ila katiba inasema urais ni vipindi viwili vya miaka mitano jumla kumi, Bimkubwa akimaliza 2030 miaka kumi haitakuwa imetimia, hapo ndo kuna utata kikatiba japo kiuhalisia inatakiwa Bimkubwa aongezewe muda aliyotumikia Rais Magu ikifika 2030 ili atimize miaka kumi yake.Umesoma katiba lakini? Samia anaruhusiwa na Katiba na hii ndiyo mara yake ya mwisho, 2030 hataruhusiwa!
Soma ibara ya 40 vifungu 1,2,3,4.Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?
Na Abdu mtoto wa Rais mama Samia ana cheo gani ndani ya selikali ya Tanzania?Soma ibara ya 40 vifungu 1,2,3,4.
Jibu la swali lako lipo kifungu cha 4.
Kama una swali zaidi karibu.
Mleta mada na wewe mwenye comment hii mnasumbuliwa na unyani (apedomia). Soma katiba kila kitu kiko wazi, tena imeandikwa kwa kiswahili.kikomo cha Rais ni mihula miwili hakuna mahala kimeandikwa makamo wa Rais hana nafasi ya kugombea.
umeelewa lakini nilichosema?Mleta mada na wewe mwenye comment hii mnasumbuliwa na unyani (apedomia). Soma katiba kila kitu kiko wazi, tena imeandikwa kwa kiswahili.
Pole sana ndugu yangu,hivi unazani Mama Samia kama Magufuri asingekufa akamaliza muhura wake angekuwa na ubavu wa kuchukua form ya kugombea Urais? Anakidhi vigezo?Mleta mada na wewe mwenye comment hii mnasumbuliwa na unyani (apedomia). Soma katiba kila kitu kiko wazi, tena imeandikwa kwa kiswahili.
Abdu Hana cheo chochote kwa ninavyojua.Na Abdu mtoto wa Rais mama Samia ana cheo gani ndani ya selikali ya Tanzania?
Ajisomee katiba imeandikwa kwa kiswah
Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi
Miaka 5 tu siyo 10.Uko sahihi ila katiba inasema urais ni vipindi viwili vya miaka mitano jumla kumi, Bimkubwa akimaliza 2030 miaka kumi haitakuwa imetimia, hapo ndo kuna utata kikatiba japo kiuhalisia inatakiwa Bimkubwa aongezewe muda aliyotumikia Rais Magu ikifika 2030 ili atimize miaka kumi yake.
KATIBA inaruhusu.Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?