Siyo lazima iwe miaka 10, maana inahesabiwa pamoja na ile aliyotumia Magu kwenye kipindi cha pili. Tatizo huwa mnasoma katiba vipande vipande hamtaki kufuata maelekezo. Soma hicho kipande na ukasome ibara zote zilizoelekezwa hapo!Uko sahihi ila katiba inasema urais ni vipindi viwili vya miaka mitano jumla kumi, Bimkubwa akimaliza 2030 miaka kumi haitakuwa imetimia, hapo ndo kuna utata kikatiba japo kiuhalisia inatakiwa Bimkubwa aongezewe muda aliyotumikia Rais Magu ikifika 2030 ili atimize miaka kumi yake.
Taja inasema wapi siyo kusema soma vizuri ndo kasoma vzr kisha kaulizaKatiba inaruhusu soma vizuri
Kwa wana CCM wenyewe, wanasema ni utamaduni wao.Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?
Tatizo la mitanzania ni mivivu ya kusoma. Wala hilo siyo swali la kusumbua watu hapa JF!Jibu la swali lako lipo kwenye Katiba ya Tanzania.
* Ibara ya 37 (5) ya Katiba ya JMT inaeleza kwamba endapo Rais atafariki, Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais ili kuendeleza na kukamilisha awamu ya miaka mitano ya huyo aliyefariki.
* Ibara ya 40 (4) ya Katiba ya JMT inaeleza kuhusu 'Haki ya kuchaguliwa tena' huyo Rais aliyerithi urais, kwamba:
🔷 Endapo amerithi huo urais kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu (kabla ya uchaguzi mkuu wa Rais), basi mrithi huyo ataruhusiwa kugombea Urais kwa AWAMU MBILI zijazo za Uchaguzi Mkuu.
🔷 Endapo amerithi huo urais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi (kabla ya uchaguzi mkuu wa Rais), basi mrithi huyo ataruhusiwa kugombea Urais kwa AWAMU MOJA tu ijayo ya Uchaguzi Mkuu.
For the case of Rais Samia, alirithi Urais mwaka 2021, ambapo ni miaka MINNE kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. As such, pursuant to the Katiba ya sasa ya JMT, na endapo Chama chake CCM kitampitisha, Mh Rais Samia anaruhusiwa kugombea nafasi ya Urais MARA MOJA tu uchaguzi ujao 2025. Hivyo, uchaguzi mkuu wa 2030 Rais Samia haruhusiwi kugombea tena, unless Katiba ifanyiwe mabadiliko.
Reference: KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
✅ Ibara ya 37 (5)
View attachment 3073468
✅ Ibara ya 40 (4)
View attachment 3073472
-Kaveli-
Huwa kuna First Lady na pia kuna First Gentlemen labda kipo na kipengele kingine kinachojumlisha na First Son 😂😂😅 !Abdu Hana cheo chochote kwa ninavyojua.
Hakuna kichochezi kilichotumika Mkuu 😅🙏umeandika hili kwa uhakika au kuna kichochezi umetumia?
Hii ni black and white haina chenga chenga !Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37 (5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.
Ungefanya la maana zaidi ungeonesha kifungu kishomruhusu.Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?
Na wewe usidanganye watu inayosema kipindi cha kushika madaraka siyo ibara ya 37(5) bali ni Ibara ya 40(5).Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37 (5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.
Acha kukurupukaNa wewe usidanganye watu inayosema kipindi cha kushika madaraka siyo ibara ya 37(5) bali ni Ibara ya 40(5).
Andika vizuri hiyo hoja yako kwa kuweka vizuri hivyo vifungu! Umekurupuka kana hujasoma! Kwa uandishi huo chuo hutoboi!Acha kukurupuka
Umekurupuka iko kifungu kinapatikana kwenye ibara ya 40 ikiilezea ibara ya 37..Andika vizuri hiyo hoja yako kwa kuweka vizuri hivyo vifungu! Umekurupuka kana hujasoma! Kwa uandishi huo chuo hutoboi!
Ibara ya 40 (4)Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?
Sawa, ila ikifika 2030 Bimkubwa itakuwa hajatimiza miaka 10 ya urais wake, utata bado upo pale pale!! Inatakiwa ikifika 2030 aongezewe muda itimie miaka kumi. Unless otherwise katiba ifanyiwe marekebisho!Miaka 5 tu siyo 10.
Ukomo ni vipindi 2 vya miaka mitano mitano
Sawa ila atajua hajuiHILI NALO MKALITAZAME.
Nawaagiza akina Kasimu na Kabudi mwende mkapekue pekue kwenye katiba yetu muone kama mama yenu nitagombea tena urais.
Hata mimi mama yenu sijui kama katiba yetu inaniruhusu kugombea tena au la, kwahiyo nawaagiza mwende MKALITAZAME kwa makini.
Na suala JENGINE, hakikisheni tunawabinya wapinzani ndani na nje ya chama kabla hawajafurukuta na kuanza kuleta "vijichoko choko".
Nimewaagiza kwa sababu nawaamini. Kabudi umekuwa kwenye Tume ya makinikia kwa muda mrefu kwahiyo nina imani na uzoefu wako. Mdogo wangu kamanda siro na wewe pia tunakutegemea kwenye "ulinzi shirikishi".
Tanzania ni yetu sote, sio yangu samia peke yangu. Tanzania oyeee!! Tanzania safiii!!
HAKIKISHENI MAMA YENU NASHINDA KWA KISHINDO CHA TEMBO.
MKINIKUNA NITAWAKUNA.
Cc: Lamomy Poor Brain mshamba_mwingine Extrovert NAMBA MOJA AJAYE NCHINI DR Mambo Jambo min -me
🤣🤣🤣HILI NALO MKALITAZAME.
Nawaagiza akina Kasimu na Kabudi mwende mkapekue pekue kwenye katiba yetu muone kama mama yenu nitagombea tena urais.
Hata mimi mama yenu sijui kama katiba yetu inaniruhusu kugombea tena au la, kwahiyo nawaagiza mwende MKALITAZAME kwa makini.
Na suala JENGINE, hakikisheni tunawabinya wapinzani ndani na nje ya chama kabla hawajafurukuta na kuanza kuleta "vijichoko choko".
Nimewaagiza kwa sababu nawaamini. Kabudi umekuwa kwenye Tume ya makinikia kwa muda mrefu kwahiyo nina imani na uzoefu wako. Mdogo wangu kamanda siro na wewe pia tunakutegemea kwenye "ulinzi shirikishi".
Tanzania ni yetu sote, sio yangu samia peke yangu. Tanzania oyeee!! Tanzania safiii!!
HAKIKISHENI MAMA YENU NASHINDA KWA KISHINDO CHA TEMBO.
MKINIKUNA NITAWAKUNA.
Cc: Lamomy Poor Brain mshamba_mwingine Extrovert NAMBA MOJA AJAYE NCHINI DR Mambo Jambo min -me
Uko sahihi. Katiba haijaweka ukomo kwa anayerithi uongozi baada ya kufariki,kuijiuzulu,nkSawa, ila ikifika 2030 Bimkubwa itakuwa hajatimiza miaka 10 ya urais wake, utata bado upo pale pale!! Inatakiwa ikifika 2030 aongezewe muda itimie miaka kumi. Unless otherwise katiba ifanyiwe marekebisho!
Chuki tu zinakusumbua kijana! ... kama na wewe una kadi ya chama nenda kagombee au wamekukataza?Iko Hivi; ni kweli Katiba yetu inaruhusu makamu wa Rais kurithi kiti cha Urais pindi Rais aliyeko madarakani anapofariki.
Swali langu, kama Magufuli angekuwepo huu ndiyo ulikuwa muhula wake wa mwisho, ina maana hata lift aliyoipata Samia ndiyo inaishia hapo.
Sasa hiki kipengele cha kumruhusu Samia kugombea tena muhula mwingine kakitoa wapi?