Naombeni majibu: Mnaosema hawa sio wana wa Israel. Je, waisraeli asilia walienda wapi?

Naombeni majibu: Mnaosema hawa sio wana wa Israel. Je, waisraeli asilia walienda wapi?

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Jamani naombeni elimu. Na mimi nikae niwasikilize. Nasikia mnasema Israel hawa sio wale waliochukuliwa na Musa kutoka Misri kwenda Canaan.

If so, okay, wale wa Musa wapo wapi? Waliishia wapi? Na hawa wapya wametoka wapi?

Daudi alitaka ajenge hekalu la Mungu, Mungu akamzuia, akamwambia mikono yako imejaa damu sana, asingeweza kufanya hivyo, akaambiwa mtoto wako atalijenga, Suleimani alipokuja, akalijenga na ndilo mpaka leo lipo Yerusalemu na watu wanasema upande mmoja kanisa, mwingine msikiti.

Wajuvi wa mambo naombeni mniambie hayo maswali, je, wale wa zamani walikwenda wapi? Na hawa wapya wametoka wapi? Manake wana akili sana kama wale wa zamani, mataifa makubwa yote yapo chini yao, na hekalu ambalo Sulemani alilijenga lipo.

Naombeni majibu inawezekana nipo nyuma.

1713201952224.jpg
 
Hivi wa Misri halisi wapo wapi ?

Achana na hawa waarabu waliokimbia huko middle east.
 
Unakuta mtu anang'ang'ana eti hawa si wasrael bali ni wazungu toka ulaya na amerika. Waje watuambie waisrael wapo wapi?
 
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema
 
Umeuliza swali ra
Jamani naombeni elimu. Na mimi nikae niwasikilize. Nasikia mnasema Israel hawa sio wale waliochukuliwa na Musa kutoka Misri kwenda Canaan.

If so, okay, wale wa Musa wapo wapi? Waliishia wapi? Na hawa wapya wametoka wapi?

Daudi alitaka ajenge hekalu la Mungu, Mungu akamzuia, akamwambia mikono yako imejaa damu sana, asingeweza kufanya hivyo, akaambiwa mtoto wako atalijenga, Suleimani alipokuja, akalijenga na ndilo mpaka leo lipo Yerusalemu na watu wanasema upande mmoja kanisa, mwingine msikiti.

Wajuvi wa mambo naombeni mniambie hayo maswali, je, wale wa zamani walikwenda wapi? Na hawa wapya wametoka wapi? Manake wana akili sana kama wale wa zamani, mataifa makubwa yote yapo chini yao, na hekalu ambalo Sulemani alilijenga lipo.

Naombeni majibu inawezekana nipo nyuma.

View attachment 2964539Umeuliza swali rahisi( kujibu).
Wale Waisraeli wa zamani wanaitwa Sephardic Jews.
Hawa wengine wanaitwa Ashkenazi Jews. Karne ya tisa ilikuwepo himaya( empire) central europe,maeneo ya Black Sea,ambao walikuwa wanaitwa "Khazar". Hawa watu( Nordic,Mongols,Turks) wakaamua kuwa Wayahudi,yaani, kufuata dini ya Kiyahudi. Kwa hiyo wakaja missionaries kutoka Palestine wakawafundisha dini ya Kiyahudi. Yule mfalme wao( please note) anaitwa "Chaga" akaamua kufuata dini ya Kiyahudi,likewise,watu wake wote ikawa ndiyo dini yao.
 
Sina hakika kama kutapatikana jibu hapa, zaidi naona history tu hapa ila jibu la moja kwa moja hamna!.
 
Back
Top Bottom